#Mmmh!! Kama kuku??
Ndo manake mkuu
Sasa hii biashara ya kuvaa vaa nguo inachosha bana
#Mmmh!! Kama kuku??
Ahsante Rafiki. Na Huyu Mungu mwacheni tu akae huko aliko, tumwone siku ya kiama..... vinginevyo, angekuwa na maswali mengi sana ya kujibu....
Angekunasa kibao kwa kumsingizia uongo kwakuwa mimi ni baba yake baba yako.....Mi ni wa upande wa kiumeniMimi ningemwuliza kwa nn mama yangu alizaliwa na ww babu ambaye
unapenda kukagua kagua.
Hujambo Bombu mpenzi? Mwache Mungu aitwe Mungu, na aendelee kukaa hukohuko aliko.mh...! hivi tulitakiwa tuhuzunike pamoja na rafiki wa babu ODM? coz rafiki wa babu naye ni either babu or bibi. Ila hapo kwenye maswali...dah! ngoja nkatunge swali langu, ntarudi kuliweka hadharani
Kama Shetani ndo Muuaji na Mungu ana nguvu kuliko Shetani...........Ningemuuliza Mungu, kwanini anamuachia shetani atuue viumbe vyake?.....Rafiki swali lako tete LOLLakini rafiki, kuna swali napata hapa, hivi Mungu ndo muuaji au ni shetani???!!!!
Aisee taratibu utamwamsha Mungu hasira zake akutie makonde....
Kama Shetani ndo Muuaji na Mungu ana nguvu kuliko Shetani...........Ningemuuliza Mungu, kwanini anamuachia shetani atuue viumbe vyake?.....Rafiki swali lako tete LOL
Hahhahaa Mamushka umenichekesha LOL.... Unaogopa kuuliza wakati amekupa nafasi?God, You are more friend to me than I am to myself, I will no longer dwell on unpleasant things of the earth, nor will I let trouble harrass me....
Iribini, tunapitia mengi, na ukisikia ya mwenzio unahisi angalau wewe Mungu alikupendelea kuliko yule na yule na yule. Yote afanyayo ana sababu Yake, japo kwa uelewa wetu wa kibinadamu wakati mwingine ni ngumu sana kukubali.
He knows what is the best for everyone of us!
Mwacheni Mungu aitwe Mungu, na mapenzi yake yatimizwe mbinguni kama duniani.
Mi ntaogopa kumuuliza swali, ntaendelea kujiuliza kimoyo moyo tu, nikikutana naye nakimya!
Ndio maana nasema, ni afadhali Mungu aendelee kukaa huko mbinguni aliko....Angekuwa anaonekana kama kina Kikwete, angeulizwa maswali mengi sana....Acheni aitwe Mungu, na akae hukohuko aliko....Rafiki, haya mambo magumu sana! Hilo nalo ni swali ngumu sana....mhhhh!!!!
Akae hukohuko aisee...maana hata wewe angekuwa ashakutia makonde....unataka tutembee uchi mbele ya watoto wetu hahahahaaaaaaaaa.... afu atuletee na dawa ya Ukimwi ili tuendelee kula dry.......... duh angekutia makwenzi aisee...Ila tunasema tuu
Mwacheni akae huko huko aliko maana nafikiri ingekuwa ni enzio zile za zamani anaonekana onekana humu duniani angekuwa ashatumaliza siku nyingi kwa hasira
Maana tunayoyafanya yanazidi hata wakati ule wa gharika na sodoma na ghomora
Mwacheni akae huko huko aliko wala asionyeshe sura yake humu duniani
Maana nahisi akionekana tuu hakuna ywyote wa kusimama mbele yake awe padri au mchungaji au shekhe au askofu au sijui mtakatifu gani sijjui nabii wote tutakuwa kama visisimizi
Akae hukohuko aisee...maana hata wewe angekuwa ashakutia makonde....unataka tutembee uchi mbele ya watoto wetu hahahahaaaaaaaaa.... afu atuletee na dawa ya Ukimwi ili tuendelee kula dry.......... duh angekutia makwenzi aisee...
Hahhahaa Mamushka umenichekesha LOL.... Unaogopa kuuliza wakati amekupa nafasi?
Sasa Mamushka.......kama anayajua kwanini anatuacha tunataabika hivi?.......... Sisi si ni viumbe vyake katuumba mwenyewe?........ Mi ningemuuliza bana....Yeye si ana uwezo, anayajua hata yale yaliyo sirini? basi acha tu alisome hilo swali ntakalo kuwa nalo....
Sasa Mamushka.......kama anayajua kwanini anatuacha tunataabika hivi?.......... Sisi si ni viumbe vyake katuumba mwenyewe?........ Mi ningemuuliza bana....