MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Milionea mmoja alienda benki kuomba mkopo wa shillingi 250/=
Meneja: Sasa wewe pesa zote ulizonazo unaombaje mkopo wa 250?
Milionea: Nimesema ninataka mkopo wa 250, kama hamnipi nitatoa pesa zangu zote nikaweke benki nyengine.
Meneja: Tutakupa mkopo unaotaka lakini kumbuka kuwa 250 kwa mwezi riba itakuwa 750/= pamoja na dhamana.
Milionea: Sio kitu, nitalipa riba na dhamana ninaweka Marcedes Benz yangu"- akamkabidhi Meneja ufunguo wa benzi akaenda zake. Alipofika kwake akamwita mke wake:
"Maria, sasa tunaweza kuenda zetu likizo tukiwa hatuna wasiwasi. Gari nimeiweka benki kwa Shs 750 tu kwa mwezi, kule iko salama zaidi Parking ya umma."
Meneja: Sasa wewe pesa zote ulizonazo unaombaje mkopo wa 250?
Milionea: Nimesema ninataka mkopo wa 250, kama hamnipi nitatoa pesa zangu zote nikaweke benki nyengine.
Meneja: Tutakupa mkopo unaotaka lakini kumbuka kuwa 250 kwa mwezi riba itakuwa 750/= pamoja na dhamana.
Milionea: Sio kitu, nitalipa riba na dhamana ninaweka Marcedes Benz yangu"- akamkabidhi Meneja ufunguo wa benzi akaenda zake. Alipofika kwake akamwita mke wake:
"Maria, sasa tunaweza kuenda zetu likizo tukiwa hatuna wasiwasi. Gari nimeiweka benki kwa Shs 750 tu kwa mwezi, kule iko salama zaidi Parking ya umma."