ghumpi
Senior Member
- Nov 10, 2009
- 185
- 14
acheni majungu nyie, inamana kuvaa kanzu na kibarakashehe ni kosa? Mbona mrema anavaa hamumsemi?
Hapo kwenye red ni kweli yaitwa hivyo??
acheni majungu nyie, inamana kuvaa kanzu na kibarakashehe ni kosa? Mbona mrema anavaa hamumsemi?
Haya ndio matatizo yenu!!!udini hata katika mambo yasiyopaswa!!!ila utake usitake Nyerere was the best president till now ambaye amepata kutokea katika nchii hii!!Kwa nini nyinyi wadini?Hata kambarage alifanya mbinu hizo alipopata wazifa waisilamu walikiona kilichomfanya kuku kunywa maji shingo juu hadi hii leo waisilamu wamekuwa mashakani ,kambarage alikuwa anavaa mpaka taribusshi na kanzu ili kuwafanyia hadaa waisilamu na kwa imani za wasilamu waliamini kuwa alikuwa mtu mwema kwao leo wanajionea wenyewe .
Hata Mkulu wa boma alipiga magoti akaombewa na Maaskofu na kutubishwa lakini rushwa na ufisadi ni pale pale siasa si-hasa !!!!!!!!!Hata kambarage alifanya mbinu hizo alipopata wazifa waisilamu walikiona kilichomfanya kuku kunywa maji shingo juu hadi hii leo waisilamu wamekuwa mashakani ,kambarage alikuwa anavaa mpaka taribusshi na kanzu ili kuwafanyia hadaa waisilamu na kwa imani za wasilamu waliamini kuwa alikuwa mtu mwema kwao leo wanajionea wenyewe .
Songíto;2976000 said:jamani waislamu na shura ya maimamu mbona hamtoi tamko kuhusu hiyo kanzu ya mbowe? nilitarajia hili kwa kulidhalilisha vazi hilo
Hakuna tatizo hapo angekaa uchi ndio ungekua mjadala napita tuView attachment 43319View attachment 43320
source : Michuzi blog
Hapa ni Machame ,Hai akichangisha watu wajenge msikiti ujulikanao kama Rambo.
Kusaka umaarufu si kazi ndogo....
Msikitiki unajulikana kama Rambo? Dah!
Wavaao kanzu wote ni waislamu?View attachment 43319View attachment 43320
source : Michuzi blog
Hapa ni Machame ,Hai akichangisha watu wajenge msikiti ujulikanao kama Rambo.
Aah mimi mindset inayopatikana md.ras.aa huwa siielewi sasa babylon brother anyway nakupa msaada wa kufikiri kwa niaba yako:Hata kambarage alifanya mbinu hizo alipopata wazifa waisilamu walikiona kilichomfanya kuku kunywa maji shingo juu hadi hii leo i ,kambarage alikuwa anavaa mpaka taribusshi na kanzu ili kuwafanyia hadaa waisilamu na kwa imani za wasilamu waliamini kuwa alikuwa mtu mwema kwao leo wanajionea wenyewe .
hivi wewe ndo unasema au mimi nilisema unanihoji ,hebu tafuta kauli inayosema wavaao kanzu wote ni waislamu kwenye post yangu ,una umri gani? humu hairuhusiwi under 18 humuWavaao kanzu wote ni waislamu?
Mtoa mada kajipange.
Mana mavazi aliyovaa ndo inshu.
View attachment 43320
source : Michuzi blog
hapa ni machame ,hai akichangisha watu wajenge msikiti ujulikanao kama rambo.
Songíto;2976000 said:jamani waislamu na shura ya maimamu mbona hamtoi tamko kuhusu hiyo kanzu ya mbowe? nilitarajia hili kwa kulidhalilisha vazi hilo