Ukiitizama picha hii ya mh mbowe unawaza nini? Siasa mmmmh

The only

JF-Expert Member
May 19, 2011
10,379
13,322
attachment.php
MBOWE 1.JPG
source : Michuzi blog

Hapa ni Machame ,Hai akichangisha watu wajenge msikiti ujulikanao kama Rambo.
 

Attachments

  • MBOWE 2.JPG
    MBOWE 2.JPG
    36.2 KB · Views: 540
Siasa ni wizi mtupu. Si hasa bana we acha tu, sijui hapo alikuwa shehe.
 
acheni majungu nyie, inamana kuvaa kanzu na kibarakashehe ni kosa? Mbona mrema anavaa hamumsemi?
 
Kweli misikiti na makanisa imekuwa mitaji ya kisiasa kwa wanasiasa.MUNGU tunusuru siasa isimeze dini.
 
hahaaa we kweli kilaza, ina maana uwezo wa kufikiri ndio umefikia mwisho? angalia hapo kwenye red

Kama mi ni kilaza, wewe ni kilaza squared. Maana ninavyofahamu waTZ wote ni vilaza, maana tumefumbia macho uporaji wa mali zetu za asili. Kwa hiyo wewe usiyejielewa kama ni kilaza unakuwa na ukilaza wa aina mbili.
1. Ukilaza wa kila mTZ.
2. Ukilaza wa kutokutambua kuwa nawe ni kilaza.
Therefore you are kilaza squared, hence proved.
 
jamani waislamu na shura ya maimamu mbona hamtoi tamko kuhusu hiyo kanzu ya mbowe? nilitarajia hili kwa kulidhalilisha vazi hilo
 
Hata kambarage alifanya mbinu hizo alipopata wazifa waisilamu walikiona kilichomfanya kuku kunywa maji shingo juu hadi hii leo waisilamu wamekuwa mashakani ,kambarage alikuwa anavaa mpaka taribusshi na kanzu ili kuwafanyia hadaa waisilamu na kwa imani za wasilamu waliamini kuwa alikuwa mtu mwema kwao leo wanajionea wenyewe .
 
Hata kambarage alifanya mbinu hizo alipopata wazifa waisilamu walikiona kilichomfanya kuku kunywa maji shingo juu hadi hii leo waisilamu wamekuwa mashakani ,kambarage alikuwa anavaa mpaka taribusshi na kanzu ili kuwafanyia hadaa waisilamu na kwa imani za wasilamu waliamini kuwa alikuwa mtu mwema kwao leo wanajionea wenyewe .

Kanzu na "kibandiko" si vazi la Waislamu pekee, ni vazi la asili ya Mashariki ya kati ambako linavaliwa na watu wote kule hata wasio na dini.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom