Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Leo mama yangu mzazi kaniletea zawadi nzuri na ya thamani, nikaipokea na kufurahi, nikamwambia asante.
Nikaipeleka ndani.
Nilpo rudi nikakuta sura yake kaikunja na anasema sijaipenda.
Hivi kila ukifurahishwa ni lazima umwage chozi kuonyesha furaha yako?
Nikaipeleka ndani.
Nilpo rudi nikakuta sura yake kaikunja na anasema sijaipenda.
Hivi kila ukifurahishwa ni lazima umwage chozi kuonyesha furaha yako?