Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Wazee wenyewe, katika stori wengi tunaamini kwamba ukimfumania mtu anachukua mali zako nguvu zinamwishia. Hata kama ni Sylvester Stallone (Rambo) unaweza kumkaba koo na ukampa vibao vya kutosha asikufanye kitu.
Nakumbuka stori ya jamaa mmoja huko katika kijiji fulani mkoani Kigoma ambaye alipewa ishu waifu wake yuko na jamaa gheto. Mshikaji huyo akaenda kichwa kichwa huku amekunja mikono ya shati na kugonga mlango hapo gheto. Yule mwizi wake alifungua mlango akampa kichapo na kurudi ndani akajifungia. Jamaa kuona vile akakusanya wapambe wake wakamsaidie lakini walipofika yule mgoni kwa kujiamini kabisa akawetembezea mkono wote na akarudi kujifungia ndani. Kilichofuata yule mke alijiua kwa soo iliyotokea na mwizi akapotea jumla.
Je ni kweli kwamba ukifumaniwa nguvu zinakwisha na network inapotea au inategemea kujiamini kwako? Leteni ishu....
Nakumbuka stori ya jamaa mmoja huko katika kijiji fulani mkoani Kigoma ambaye alipewa ishu waifu wake yuko na jamaa gheto. Mshikaji huyo akaenda kichwa kichwa huku amekunja mikono ya shati na kugonga mlango hapo gheto. Yule mwizi wake alifungua mlango akampa kichapo na kurudi ndani akajifungia. Jamaa kuona vile akakusanya wapambe wake wakamsaidie lakini walipofika yule mgoni kwa kujiamini kabisa akawetembezea mkono wote na akarudi kujifungia ndani. Kilichofuata yule mke alijiua kwa soo iliyotokea na mwizi akapotea jumla.
Je ni kweli kwamba ukifumaniwa nguvu zinakwisha na network inapotea au inategemea kujiamini kwako? Leteni ishu....