Ndg mtoa hoja kuna kitu kimoja umesahau kwamba hii JF ni yana Chadema tu. ukionge ukweli wao kazi yao ni kung'aka. nasikitika JF sikuhizi imepotez mvuto maana imekaa ki Chadema zaidi na sio ki Taifa.
Ombi: wekeni wazi tu kuwa hoja za hapa ni kwaajili ya kusifia CDM na viongozi wao na sio kwa maslahi mapana ya taifa la Tanzania.
Hata Kikwete alituambia tumcchague sababu ni kijana leo hii
ametusaidia nini kutokana na ujana wake??
Zitto ni noumaaaaaaaa! Kama umesoma nae onesha mchango wako kwa Taifa unaomzid Zitto,wameshindwa watu wenye nguvu zao kumchafua Zitto itakuwa ww mlemavu wa akili!
Yani humu jf kuna watoto wamekuja kwa ajiri ya kupinga,akianza kupinga mtu wa kwanza katika thread ya mtoa mada basi mingine inafwata kuponda,acheni kufikiria na masaburi...anyways big up kwa wanaoponda na kuonyesha wp mtoa mada amekosea na kumpatia facts mpya huo ndo u-gret thinka
Hivi lazima uandike? Kwa nini usichangie hoja za wengine!? Simple mind.........!
Hamna cha maana hapo. Labda cha maana kwa Zito (25) ni maamuzi ya kamati ya rufaa yanasema mechi ya Azam na Mtibwa itarudiwa.
Ndg mtoa hoja kuna kitu kimoja umesahau kwamba hii JF ni yana Chadema tu. ukionge ukweli wao kazi yao ni kung'aka. nasikitika JF sikuhizi imepotez mvuto maana imekaa ki Chadema zaidi na sio ki Taifa.
Ombi: wekeni wazi tu kuwa hoja za hapa ni kwaajili ya kusifia CDM na viongozi wao na sio kwa maslahi mapana ya taifa la Tanzania.
Hivi lazima uandike? Kwa nini usichangie hoja za wengine!? Simple mind.........!