Kuna akili za mitihani na akili za kawaida....uwezo kufikiri sio kukariri na kutoa kama kilivyo..ambacho naona bado Mulugo anapata shida nacho. Howezi kuniambaia muungano wa Tanzania bara, Pemba na Zanzibar nikakuelewa achilia mbali huo wa Zimbabwe na Pemba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.