DullyJr JF-Expert Member Apr 10, 2011 13,979 11,816 Jun 5, 2012 #1 Kichaa anakuna macho huku kavaa miwani, mwenye akili akamwambia "si uvue miwani ndio ukune macho vizuri?" kichaa akajibu "mbona wewe ukijikuna ****** huvui suruali?"
Kichaa anakuna macho huku kavaa miwani, mwenye akili akamwambia "si uvue miwani ndio ukune macho vizuri?" kichaa akajibu "mbona wewe ukijikuna ****** huvui suruali?"