bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
jamani hapo kwenye bluu napata tabu kidogo,
kati ya mpwa Nguli na binamu Masanilo nani ni mmiliki halali wa BHT na nani ni mshika pembe??, msaada kwenye tuta plz.
Jamani Lily!!! Porjie dont bother am sure with time utapata jibu(moments by the way)
Nguli hiyo mijino kaitoa ya nini?