Kudos kamanda Machemli, VIVA M4CNi kipindi cha Jambo Tanzania kinachorushwa na TBC1 kimetoa makala inayosifia halmashauri ya wilaya ya Ukerewe inayoongozwa na CHADEMA kwa maendelea katika nyanja zote na usimamizi mzuri wa raslimali. HONGERA WANACHI WA UKEREWE.