Ukatiri na unyanyasaji wa mbowe wadhihirika

Status
Not open for further replies.
Kutokana na utafiti wa chapombe Mukama JF ni mojawapo ya maadui wa CCM na imechangia kuinyima ushindi wa kishindo mwaka 2010. Katika kukabiliana na adui JF Nape ameajiri vijana wengi kuingia humu kuja kuisafisha CCM, lakini vijana hao wameshindwa hivyo wameamua kubadilisha mbinu za mapambano. Hivi sasa wameamua kuichafua JF kwa kujaza thread za kipumbavu usiku na mchana ili mwisho wa siku JF ikose hadhi na watu waidharau kama watanzania wanavyoidharau CCM hivi sasa. Hi ni changa moto kwenu MODS. Mnakubali Nape awe wa mwisho kucheka?
 
Wai hata kiswahili lugha ya taifa huijui sasa nani atapoteza muda wa kusoma kitu hakieleweki.
 
Mnamo mwaka 1958 ni mwaka wa kihistoriakatika Nchi hii ya Tanzania.Mjadala wa kura tatu ni miongoni mwa matukio hayo ya kihistoria ambapo Mwl.Nyerere alikuwa mzungumzaji mkuu katika mjadala huo.Kutokana na huruma, busara,mvuto na ushawishi mkubwa aliokawanao Mwalimu huo;viongozi wa TANU na watu wengine waTabora walipanga mkakati wa kumnyanyua mwalimu huyo wakati atakapowasili kwenye mjadala huo.
Na tazama jinsi Nyerere alivyoongozwa na busara na huruma kubwa pale alipokataa kunyanyuliwa huku akisisitiza kuwa, hali hiyo ni sawa na ukatiri,unyanyasaji,ubinafsi na utumwa uliopea.Hali ni tofauti kwa Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe,ambaye kutokana na ukatiri, unyanyasaji na ubinafsi wake alionekana kujawa na furaha mithili ya mtu aliyefanikisha kupiga chafya pale aliponyanyuliwa na wafuasi wake wa CHADEMAkule Arusha baada ya kupata dhamana ambao kwa bahati mbaya hawajui kama wamelishwa unga wa ndere na chama hicho na hivyo kushindwa kung'amua baya lolote la viongozi wao wadhalimu.Wafuasi hao walionaswa na sumaku kali ya CHADEMA na hivyo kudumaa kimawazo, wanaonekana kuwaona wajinga wataalamu wa saikolojia ya binadamu wanaozifahamu tabia za binadamu kulingana na muktadha mahsusi huku wakijikakamua kutoa hoja zao zilizoathirika na unga huo wa ndere kama watakavyojitokeza katika hoja hii.
Nilishangawza sana kuona kiongozi huo akifurahia kunyanyuliwa na wafuasi wake ambao kwa bahati mbaya hawakusoma historia ya utumwa nakwamba hiyo waliyoifanya ni 'aspect' yake.
Acheni siasa za maji taka njooni na hoja za msingi za kujenga taifa hili lilokosa muelekeo kwaupuuzi wa watu kama nyie msiyefikiri kabla ya kutenda.*
wana wa Arusha walimnyanyua shujaa wao juu na vile vile alivyokuja Dar alinyanyuliwa juu tena kwakumpa heshima yake na tutaendelea kumpa moyo asichoke azidi kusonga mbele huku na sisi tukiwa nyuma yake mpaka hapo kitakapo eleweka.

*VIVA CDM
 
Kutokana na utafiti wa chapombe Mukama JF ni mojawapo ya maadui wa CCM na imechangia kuinyima ushindi wa kishindo mwaka 2010. Katika kukabiliana na adui JF Nape ameajiri vijana wengi kuingia humu kuja kuisafisha CCM, lakini vijana hao wameshindwa hivyo wameamua kubadilisha mbinu za mapambano. Hivi sasa wameamua kuichafua JF kwa kujaza thread za kipumbavu usiku na mchana ili mwisho wa siku JF ikose hadhi na watu waidharau kama watanzania wanavyoidharau CCM hivi sasa. Hi ni changa moto kwenu MODS. Mnakubali Nape awe wa mwisho kucheka?

...huyu si chapombe tuu ...ni mteja mzuri sana wa dada poa wa pale ...kariakoo mtaa wa nyuma ..ana permanent room pale kwenye hoteli nyuma ya makao makuu ya chama ..toka enzi akiwa director wa JIJI......dereva anamshusha pale Jirani na ofisi ndogo then taratibu anaweka kapelo yake anaambaaambaa taratibuuuuu....lakini kwa sasa tutampima kwa hoja...tunadhani angalau ni bora kuliko Makamba..
 
Mnamo mwaka 1958 ni mwaka wa kihistoriakatika Nchi hii ya Tanzania.Mjadala wa kura tatu ni miongoni mwa matukio hayo ya kihistoria ambapo Mwl.Nyerere alikuwa mzungumzaji mkuu katika mjadala huo.Kutokana na huruma, busara,mvuto na ushawishi mkubwa aliokawanao Mwalimu huo;viongozi wa TANU na watu wengine waTabora walipanga mkakati wa kumnyanyua mwalimu huyo wakati atakapowasili kwenye mjadala huo. Na tazama jinsi Nyerere alivyoongozwa na busara na huruma kubwa pale alipokataa kunyanyuliwa huku akisisitiza kuwa, hali hiyo ni sawa na ukatiri,unyanyasaji,ubinafsi na utumwa uliopea.Hali ni tofauti kwa Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe,ambaye kutokana na ukatiri, unyanyasaji na ubinafsi wake alionekana kujawa na furaha mithili ya mtu aliyefanikisha kupiga chafya pale aliponyanyuliwa na wafuasi wake wa CHADEMAkule Arusha baada ya kupata dhamana ambao kwa bahati mbaya hawajui kama wamelishwa unga wa ndere na chama hicho na hivyo kushindwa kung'amua baya lolote la viongozi wao wadhalimu.Wafuasi hao walionaswa na sumaku kali ya CHADEMA na hivyo kudumaa kimawazo, wanaonekana kuwaona wajinga wataalamu wa saikolojia ya binadamu wanaozifahamu tabia za binadamu kulingana na muktadha mahsusi huku wakijikakamua kutoa hoja zao zilizoathirika na unga huo wa ndere kama watakavyojitokeza katika hoja hii. Nilishangawza sana kuona kiongozi huo akifurahia kunyanyuliwa na wafuasi wake ambao kwa bahati mbaya hawakusoma historia ya utumwa nakwamba hiyo waliyoifanya ni 'aspect' yake.
Baba yako hubebwa na mama yako,huo ni UTUMWA?
 
hivi unadhani yote aliyofanya nyerere yalikuwa sahihi, mbona, kuna ubaya gani kumbeba mtu kwa furaha je messi,xavi na wachezaji wengi wengine wa barcelona ni watumwa? weweeee usirudie tena
 
haya baana ni ukikojozi tu unakusumbua kaanike godoro kwaza. ndo uje hapa jf
 
Madaya wewe ni zero brain,huwezi kuandika upupu wa namna hii ktk jf,poor thinker come again with strong argument not this!
 
MADAYA ni jina langu halisi na namba yangu ya simu ni 0789357823,maana siogopi kwa kueleza ukweli.Ujue sishangai matusi yalotolewa na hii inadhihirisha udhaifu wa hoja zenu.Leteni 'facts' na si matusi

Wewe mpumbavu, facts umewekewa picha ya Nyerere amebebwa mwaka 1961. Au unamzungumzia Nyerere yupi? Hv man kweli ww ni mzima?! Dah pole sana.
 
Nd, Magaya. Nadhani walimu wako wakisikia unajitambulisha kwamba ulifundishwa nao, wanahisi " kichefuchefu".
Mwanangu ana umri wa miaka 5. Hoja zake zimekupita mara mia kadhaa.
 
hey 7 posts, ukatiri ni nini? nimetafuta kwenye kamusi ya kiswahili sijapata maana yake, au ndio mambo ya kuruka shule ya msingi...ukatiri, chakura, lobo saha, biliani, shiringi, balabala ya rami....

shule ya msingi ina umuhimu mkubwa maishani, bora usisome sekondari, sasa tatizo wewe uliruka ukaanza na kidato cha kwanza.
 
Jamani, jamaa yetu kapanga kuleta hii post ndani ya siku saba zilizopita..na leo kaamka katumia masaa kadhaa kuiandaa na kuihariri..ndio kaituma!
 
Mnamo mwaka 1958 ni mwaka wa kihistoriakatika Nchi hii ya Tanzania.Mjadala wa kura tatu ni miongoni mwa matukio hayo ya kihistoria ambapo Mwl.Nyerere alikuwa mzungumzaji mkuu katika mjadala huo.Kutokana na huruma, busara,mvuto na ushawishi mkubwa aliokawanao Mwalimu huo;viongozi wa TANU na watu wengine waTabora walipanga mkakati wa kumnyanyua mwalimu huyo wakati atakapowasili kwenye mjadala huo. Na tazama jinsi Nyerere alivyoongozwa na busara na huruma kubwa pale alipokataa kunyanyuliwa huku akisisitiza kuwa, hali hiyo ni sawa na ukatiri,unyanyasaji,ubinafsi na utumwa uliopea.Hali ni tofauti kwa Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe,ambaye kutokana na ukatiri, unyanyasaji na ubinafsi wake alionekana kujawa na furaha mithili ya mtu aliyefanikisha kupiga chafya pale aliponyanyuliwa na wafuasi wake wa CHADEMAkule Arusha baada ya kupata dhamana ambao kwa bahati mbaya hawajui kama wamelishwa unga wa ndere na chama hicho na hivyo kushindwa kung'amua baya lolote la viongozi wao wadhalimu.Wafuasi hao walionaswa na sumaku kali ya CHADEMA na hivyo kudumaa kimawazo, wanaonekana kuwaona wajinga wataalamu wa saikolojia ya binadamu wanaozifahamu tabia za binadamu kulingana na muktadha mahsusi huku wakijikakamua kutoa hoja zao zilizoathirika na unga huo wa ndere kama watakavyojitokeza katika hoja hii. Nilishangawza sana kuona kiongozi huo akifurahia kunyanyuliwa na wafuasi wake ambao kwa bahati mbaya hawakusoma historia ya utumwa nakwamba hiyo waliyoifanya ni 'aspect' yake.
nimefurahishwa tu na lugha uliyotumia. Nape et al in action
 
madaya ............ Puuuuuuuuuuuu, pumba tupu.
mnamo mwaka 1958 ni mwaka wa kihistoriakatika nchi hii ya tanzania.mjadala wa kura tatu ni miongoni mwa matukio hayo ya kihistoria ambapo mwl.nyerere alikuwa mzungumzaji mkuu katika mjadala huo.kutokana na huruma, busara,mvuto na ushawishi mkubwa aliokawanao mwalimu huo;viongozi wa tanu na watu wengine watabora walipanga mkakati wa kumnyanyua mwalimu huyo wakati atakapowasili kwenye mjadala huo.
Na tazama jinsi nyerere alivyoongozwa na busara na huruma kubwa pale alipokataa kunyanyuliwa huku akisisitiza kuwa, hali hiyo ni sawa na ukatiri,unyanyasaji,ubinafsi na utumwa uliopea.hali ni tofauti kwa mwenyekiti wa chadema,freeman mbowe,ambaye kutokana na ukatiri, unyanyasaji na ubinafsi wake alionekana kujawa na furaha mithili ya mtu aliyefanikisha kupiga chafya pale aliponyanyuliwa na wafuasi wake wa chademakule arusha baada ya kupata dhamana ambao kwa bahati mbaya hawajui kama wamelishwa unga wa ndere na chama hicho na hivyo kushindwa kung'amua baya lolote la viongozi wao wadhalimu.wafuasi hao walionaswa na sumaku kali ya chadema na hivyo kudumaa kimawazo, wanaonekana kuwaona wajinga wataalamu wa saikolojia ya binadamu wanaozifahamu tabia za binadamu kulingana na muktadha mahsusi huku wakijikakamua kutoa hoja zao zilizoathirika na unga huo wa ndere kama watakavyojitokeza katika hoja hii.
Nilishangawza sana kuona kiongozi huo akifurahia kunyanyuliwa na wafuasi wake ambao kwa bahati mbaya hawakusoma historia ya utumwa nakwamba hiyo waliyoifanya ni 'aspect' yake.
 
Hivi JF haiwezi kua sehemu pure ambayo utaingia ukapata
habari isiyokua na mizaha inayo anzishwa na watu wasio fikiria?
 
Mnamo mwaka 1958 ni mwaka wa kihistoriakatika Nchi hii ya Tanzania.Mjadala wa kura tatu ni miongoni mwa matukio hayo ya kihistoria ambapo Mwl.Nyerere alikuwa mzungumzaji mkuu katika mjadala huo.Kutokana na huruma, busara,mvuto na ushawishi mkubwa aliokawanao Mwalimu huo;viongozi wa TANU na watu wengine waTabora walipanga mkakati wa kumnyanyua mwalimu huyo wakati atakapowasili kwenye mjadala huo.
Na tazama jinsi Nyerere alivyoongozwa na busara na huruma kubwa pale alipokataa kunyanyuliwa huku akisisitiza kuwa, hali hiyo ni sawa na ukatiri,unyanyasaji,ubinafsi na utumwa uliopea.Hali ni tofauti kwa Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe,ambaye kutokana na ukatiri, unyanyasaji na ubinafsi wake alionekana kujawa na furaha mithili ya mtu aliyefanikisha kupiga chafya pale aliponyanyuliwa na wafuasi wake wa CHADEMAkule Arusha baada ya kupata dhamana ambao kwa bahati mbaya hawajui kama wamelishwa u
nga wa ndere na chama hicho na hivyo kushindwa kung'amua baya lolote la viongozi wao wadhalimu.Wafuasi hao walionaswa na sumaku kali ya CHADEMA na hivyo kudumaa kimawazo, wanaonekana kuwaona wajinga wataalamu wa saikolojia ya binadamu wanaozifahamu tabia za binadamu kulingana na muktadha mahsusi huku wakijikakamua kutoa hoja zao zilizoathirika na unga huo wa ndere kama watakavyojitokeza katika hoja hii.
Nilishangawza sana kuona kiongozi huo akifurahia kunyanyuliwa na wafuasi wake ambao kwa bahati mbaya hawakusoma historia ya utumwa nakwamba hiyo waliyoifanya ni 'aspect' yake.
Nawe umelishwa ndere ya utawala wa magamba hata chongo uone ni kengeza. Kwa wasiofahamu ndere ni nini, NDERE NI AINA FULANI YA MVUTO AMBAO UNAPATA BAADA YA KUAGULIWA NA TUNGULI YA NDERE, hakuna unga wa ndere ila waganga wa kienyeji hususani wa Tanga ndiyo utasikia nina tunguli ya ndere, au biashara kama ilivyo kinga.
 
Ndiyo maana umejiunga JF Jumatatu 13/06/2011 - Umetumwa na upo kwa ajili ya ufisadi wako. greater Thinker hawako hivyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom