Ukatiri na unyanyasaji wa mbowe wadhihirika

Status
Not open for further replies.
niwazi sasa ulinzi pale getini hospitali ya vichaa pale dodoma si wakutosha, naona umefanikiwa kutoroka kuja jf, nitakurudisha!!!
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha hah ha,Daaaah,mdau umezivunja mbavu zangu,tayari nimeshalazwa hapa MOI inabidi uje kunipiga jeki kulipia bili ya matibabu,ha ha ha!!!
 
Mnamo mwaka 1958 ni mwaka wa kihistoriakatika Nchi hii ya Tanzania.Mjadala wa kura tatu ni miongoni mwa matukio hayo ya kihistoria ambapo Mwl.Nyerere alikuwa mzungumzaji mkuu katika mjadala huo.Kutokana na huruma, busara,mvuto na ushawishi mkubwa aliokawanao Mwalimu huo;viongozi wa TANU na watu wengine waTabora walipanga mkakati wa kumnyanyua mwalimu huyo wakati atakapowasili kwenye mjadala huo.
Na tazama jinsi Nyerere alivyoongozwa na busara na huruma kubwa pale alipokataa kunyanyuliwa huku akisisitiza kuwa, hali hiyo ni sawa na ukatiri,unyanyasaji,ubinafsi na utumwa uliopea.Hali ni tofauti kwa Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe,ambaye kutokana na ukatiri, unyanyasaji na ubinafsi wake alionekana kujawa na furaha mithili ya mtu aliyefanikisha kupiga chafya pale aliponyanyuliwa na wafuasi wake wa CHADEMAkule Arusha baada ya kupata dhamana ambao kwa bahati mbaya hawajui kama wamelishwa unga wa ndere na chama hicho na hivyo kushindwa kung'amua baya lolote la viongozi wao wadhalimu.Wafuasi hao walionaswa na sumaku kali ya CHADEMA na hivyo kudumaa kimawazo, wanaonekana kuwaona wajinga wataalamu wa saikolojia ya binadamu wanaozifahamu tabia za binadamu kulingana na muktadha mahsusi huku wakijikakamua kutoa hoja zao zilizoathirika na unga huo wa ndere kama watakavyojitokeza katika hoja hii.
Nilishangawza sana kuona kiongozi huo akifurahia kunyanyuliwa na wafuasi wake ambao kwa bahati mbaya hawakusoma historia ya utumwa nakwamba hiyo waliyoifanya ni 'aspect' yake.


Basi jana kuna mtu mmoja aliniuliza swali moja juu ya JF! Eti kwa nini JF wanapenda sana kuwananga na kuwapinga ZE COMEDI (wale wa TBC), nikamwambia "JF kuna great thinkers hawapendi mambo ya kijinga...ingawa pia kuna watu wajinga na wenye mawazo ya kijinga wengi tu pale JF na kuna wakati wanatoa hojana kusema mambo ya kijinga tu kiasi ambacho hawatofautiani na hao wajinha walioko ZE COMEDI," aliinua kichwa ishara ya kunielewa. Nitafurahi kama ntaonanan naye leo, nitampatia mfano huu dhahiri wa ujinga wa baadhi ya members hapa JF.
 
Basi jana kuna mtu mmoja aliniuliza swali moja juu ya JF! Eti kwa nini JF wanapenda sana kuwananga na kuwapinga ZE COMEDI (wale wa TBC), nikamwambia "JF kuna great thinkers hawapendi mambo ya kijinga...ingawa pia kuna watu wajinga na wenye mawazo ya kijinga wengi tu pale JF na kuna wakati wanatoa hojana kusema mambo ya kijinga tu kiasi ambacho hawatofautiani na hao wajinha walioko ZE COMEDI," aliinua kichwa ishara ya kunielewa. Nitafurahi kama ntaonanan naye leo, nitampatia mfano huu dhahiri wa ujinga wa baadhi ya members hapa JF.
Mtu mwenye akili akikutukana,matusi yako huwa mazito!!!
 
Kwa mbinu hizi wanagamba mtazidi kulaum kuwa JF ni ya cdm,huyu naye ameamua awachafue cdm.Ndio maana jamaa mmoja jamvini huwa anakumbushia kuwa kuishabikia ccm lazima uwe mwendawazimu.Simshangai kiwavi madaya
 
Vijana wa Nape naona wanafanya kazi yao. Kuna haja ya kuongalia hoja nzuri na zinazoweza kuwaelimisha watu. Sio kuja na vitu kama hivi ambovyo havina mshiko. Mwisho mtakosa deliverables za kazi mliogizwa.
 
Vijana wa Nape naona wanafanya kazi yao. Kuna haja ya kuangalia hoja nzuri na zinazoweza kuwaelimisha watu. Sio kuja na vitu kama hivi ambavyo havina mshiko. Mwisho mtakosa deliverables za kazi mliogizwa.
 
Dah kuna umuhimu wakuwa na intervies zakuchuja wanaotaka kujiunga JF watu wenye mizigo mizito ya upumbavu kama huyu hawatakiwi humu. Madaya umeandika matope matupu. Jivue ngozi kabisa wewe.
 
Mnamo mwaka 1958 ni mwaka wa kihistoriakatika Nchi hii ya Tanzania.Mjadala wa kura tatu ni miongoni mwa matukio hayo ya kihistoria ambapo Mwl.Nyerere alikuwa mzungumzaji mkuu katika mjadala huo.Kutokana na huruma, busara,mvuto na ushawishi mkubwa aliokawanao Mwalimu huo;viongozi wa TANU na watu wengine waTabora walipanga mkakati wa kumnyanyua mwalimu huyo wakati atakapowasili kwenye mjadala huo. Na tazama jinsi Nyerere alivyoongozwa na busara na huruma kubwa pale alipokataa kunyanyuliwa huku akisisitiza kuwa, hali hiyo ni sawa na ukatiri,unyanyasaji,ubinafsi na utumwa uliopea.Hali ni tofauti kwa Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe,ambaye kutokana na ukatiri, unyanyasaji na ubinafsi wake alionekana kujawa na furaha mithili ya mtu aliyefanikisha kupiga chafya pale aliponyanyuliwa na wafuasi wake wa CHADEMAkule Arusha baada ya kupata dhamana ambao kwa bahati mbaya hawajui kama wamelishwa unga wa ndere na chama hicho na hivyo kushindwa kung'amua baya lolote la viongozi wao wadhalimu.Wafuasi hao walionaswa na sumaku kali ya CHADEMA na hivyo kudumaa kimawazo, wanaonekana kuwaona wajinga wataalamu wa saikolojia ya binadamu wanaozifahamu tabia za binadamu kulingana na muktadha mahsusi huku wakijikakamua kutoa hoja zao zilizoathirika na unga huo wa ndere kama watakavyojitokeza katika hoja hii. Nilishangawza sana kuona kiongozi huo akifurahia kunyanyuliwa na wafuasi wake ambao kwa bahati mbaya hawakusoma historia ya utumwa nakwamba hiyo waliyoifanya ni 'aspect' yake.
binafsi sijaelewa ulichomaanisha ms
 
Kama hauna la kuandika bora ukatulia maana ulicholeta hapa ni kioja.Kichwa habari tofauti na habari yenyewe naomba uweke jina lako kamili na namba yako ya simu hili tukuelimishe







MADAYA ni jina langu halisi na namba yangu ya simu ni 0789357823,maana siogopi kwa kueleza ukweli.Ujue sishangai matusi yalotolewa na hii inadhihirisha udhaifu wa hoja zenu.Leteni 'facts' na si matusi
 
msamehe bure . huyu sio mzima wa akili hata kidogo! kuna uwezekano some tm no some tm yes
 
Huyu jamaa Kaishiwa sera. Unaongelea Nyerere gani? Nikiwa shuleni miaka ya nyuma tulikuwa tunalazimishwa kumpokea Nyerere masaa zaidi ya 5 tena juani tukiwa na njaa kabla hajaja. Huo ndio ukandamizaji kwa kweli. Watu kumbeba Mbowe haikuwa lazima hata kidogo na si ukandamizaji..hili ni tendo la hiari la watu kwa kiongozi wao wala usijaribu kuwadharau, tenda mema kwa watanzania nawe utabebwa. Kwa viongozi wa nchi hii ukimwacha Nyerere hakuna kiongozi aliyewahi kufanyiwa hata jaribio la kubebwa. Unaongelea saikolojia gani? Umechakachua cheti nini? Yesu Kristo wakati wake watu waliwahi kumtandikia nguo zao na punda aliye mbeba kutembea juu ya nguo hizo; hii ni kwa sababu watu walimpenda sana na waliamini katika uwezo wake wa kutatua mataizo yao.
 
Mnamo mwaka 1958 ni mwaka wa kihistoriakatika Nchi hii ya Tanzania.Mjadala wa kura tatu ni miongoni mwa matukio hayo ya kihistoria ambapo Mwl.Nyerere alikuwa mzungumzaji mkuu katika mjadala huo.Kutokana na huruma, busara,mvuto na ushawishi mkubwa aliokawanao Mwalimu huo;viongozi wa TANU na watu wengine waTabora walipanga mkakati wa kumnyanyua mwalimu huyo wakati atakapowasili kwenye mjadala huo.
Na tazama jinsi Nyerere alivyoongozwa na busara na huruma kubwa pale alipokataa kunyanyuliwa huku akisisitiza kuwa, hali hiyo ni sawa na ukatiri,unyanyasaji,ubinafsi na utumwa uliopea.Hali ni tofauti kwa Mwenyekiti wa CHADEMA,Freeman Mbowe,ambaye kutokana na ukatiri, unyanyasaji na ubinafsi wake alionekana kujawa na furaha mithili ya mtu aliyefanikisha kupiga chafya pale aliponyanyuliwa na wafuasi wake wa CHADEMAkule Arusha baada ya kupata dhamana ambao kwa bahati mbaya hawajui kama wamelishwa unga wa ndere na chama hicho na hivyo kushindwa kung'amua baya lolote la viongozi wao wadhalimu.Wafuasi hao walionaswa na sumaku kali ya CHADEMA na hivyo kudumaa kimawazo, wanaonekana kuwaona wajinga wataalamu wa saikolojia ya binadamu wanaozifahamu tabia za binadamu kulingana na muktadha mahsusi huku wakijikakamua kutoa hoja zao zilizoathirika na unga huo wa ndere kama watakavyojitokeza katika hoja hii.
Nilishangawza sana kuona kiongozi huo akifurahia kunyanyuliwa na wafuasi wake ambao kwa bahati mbaya hawakusoma historia ya utumwa nakwamba hiyo waliyoifanya ni 'aspect' yake.
Malaria sugu kapona ww sasa umekuwa mrithi wake au bangi zinakuzingua?
 
Ua a Great Vomiter tena unatumia Matundu yote yanayopatikana mwilini mwako usituletee Mambo ya"Hili linazungumzika" a.k.a Nape.
 
Sie CDM hatutaki umseme vibaya Mbowe, YEYE ANATAKA MISIFA TU! Hata kama wafuasi wa CDM siku wakimuona mwenyekiti wao amevua nguo hadharani WATAMSHANGALIA, Hii MIJITU YA CDM HAITAKI KUPOKEA CHANGAMOTO
 
Wataalam wanasema moshi wa bangi unakaa kichwani kwa muda wa miaka 7 sasa jamaa moshi wa bangi unamtesa ndomana kapost ishu ambayo haina connection na kile alichokusudia kutuandikia . shame upon ure face.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom