Loh! Sijategemea.Nikiona jiwe karibu naongezea ili asiamuke kabisa. Washenzi sana hawa
Loh! Sijategemea.
Nikiona jiwe karibu naongezea ili asiamuke kabisa. Washenzi sana hawa
Mkuu username yako inakaribia na ya kwangu...Je wewe huwa hufanyi makosa? au wewe ni mtakatifu na je huyu kibaka sijui mwizi dhambi zake ndo KUBWA sana mpaka tusitishe maisha yake?
Utauona ni ukatili kama hujawahi kufikwa na mabo haya.Utaona kuwa ni shangwe na matumaini kama ushafikwa au kuonja ladha ya kuibiwa.usiombe kabisa ukutane na wananchi wenye hasira!!!!!