MKUNGA
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 441
- 71
Ni kutokana na hukumu yake katika kesi ya mwandishi huyo dhidi a msanii Diamond.
Mwandishi huyo alishitaki kesi ya jinai kwamba amepigwa na Diamond pamoja na wenzake. Katika hukumu ya Mahakama ya Mwanzo Bomani Iringa mjini imemtia hatiani Diamond na wenzie na kuwahukumu waende jela miezi 6 au faini 30,000/= kila mmoja.Mwandishi huyo amenukuliwa zaidi ya maramoja akiita hukumu hiyo ya kichina eti faini waliyotozwa ndogo. Kama huo sio ukanjanja ni nini? Kama alitaka alipwe pesa nyingi kwa nini asifungue kesi ya madai Mahakama ya Wilaya?Hivi hawa ndio Waandishi wetu wa kuwategemea au ndio wanaonunuliwa? Mwandishi aliyesoma vizuri anaweza kuiita hukumu ya Mahakama ya Kichina?
Source: Mahojiano ya Mwandishi huyo na kipindi cha Amplifier Clouds FM usiku huu.
Mwandishi huyo alishitaki kesi ya jinai kwamba amepigwa na Diamond pamoja na wenzake. Katika hukumu ya Mahakama ya Mwanzo Bomani Iringa mjini imemtia hatiani Diamond na wenzie na kuwahukumu waende jela miezi 6 au faini 30,000/= kila mmoja.Mwandishi huyo amenukuliwa zaidi ya maramoja akiita hukumu hiyo ya kichina eti faini waliyotozwa ndogo. Kama huo sio ukanjanja ni nini? Kama alitaka alipwe pesa nyingi kwa nini asifungue kesi ya madai Mahakama ya Wilaya?Hivi hawa ndio Waandishi wetu wa kuwategemea au ndio wanaonunuliwa? Mwandishi aliyesoma vizuri anaweza kuiita hukumu ya Mahakama ya Kichina?
Source: Mahojiano ya Mwandishi huyo na kipindi cha Amplifier Clouds FM usiku huu.