Ukanjanja? Mwanahabari aitukana mahakama

MKUNGA

JF-Expert Member
Dec 10, 2009
441
71
Ni kutokana na hukumu yake katika kesi ya mwandishi huyo dhidi a msanii Diamond.

Mwandishi huyo alishitaki kesi ya jinai kwamba amepigwa na Diamond pamoja na wenzake. Katika hukumu ya Mahakama ya Mwanzo Bomani Iringa mjini imemtia hatiani Diamond na wenzie na kuwahukumu waende jela miezi 6 au faini 30,000/= kila mmoja.Mwandishi huyo amenukuliwa zaidi ya maramoja akiita hukumu hiyo ya kichina eti faini waliyotozwa ndogo. Kama huo sio ukanjanja ni nini? Kama alitaka alipwe pesa nyingi kwa nini asifungue kesi ya madai Mahakama ya Wilaya?Hivi hawa ndio Waandishi wetu wa kuwategemea au ndio wanaonunuliwa? Mwandishi aliyesoma vizuri anaweza kuiita hukumu ya Mahakama ya Kichina?

Source: Mahojiano ya Mwandishi huyo na kipindi cha Amplifier Clouds FM usiku huu.
 
Ni kutokana na hukumu yake katika kesi ya mwandishi huyo dhidi a msanii Diamond.

Mwandishi huyo alishitaki kesi ya jinai kwamba amepigwa na Diamond pamoja na wenzake. Katika hukumu ya Mahakama ya Mwanzo Bomani Iringa mjini imemtia hatiani Diamond na wenzie na kuwahukumu waende jela miezi 6 au faini 30,000/= kila mmoja.Mwandishi huyo amenukuliwa zaidi ya maramoja akiita hukumu hiyo ya kichina eti faini waliyotozwa ndogo. Kama huo sio ukanjanja ni nini? Kama alitaka alipwe pesa nyingi kwa nini asifungue kesi ya madai Mahakama ya Wilaya?Hivi hawa ndio Waandishi wetu wa kuwategemea au ndio wanaonunuliwa? Mwandishi aliyesoma vizuri anaweza kuiita hukumu ya Mahakama ya Kichina?

Source: Mahojiano ya Mwandishi huyo na kipindi cha Amplifier Clouds FM usiku huu.
Mbaya zaidi hizo pesa zitakuwa za Serikali na hata fidia ya vyombo vyake hatopata, afadhali angekubali wamalize nje ya mahakama angefaidika zaidi na kupewa fidia ama kununuliwa vyombo vipya vya kazi yake. Any way, tunajifunza kwamba kuna sheria zinahitaji kufanyiwa marekebisho ziendane na hali ya sasa.
 
Mbaya zaidi hizo pesa zitakuwa za Serikali na hata fidia ya vyombo vyake hatopata, afadhali angekubali wamalize nje ya mahakama angefaidika zaidi na kupewa fidia ama kununuliwa vyombo vipya vya kazi yake. Any way, tunajifunza kwamba kuna sheria zinahitaji kufanyiwa marekebisho ziendane na hali ya sasa.

Nakubaliana nawe mkuu,isipokuwa kuna jinai na madai. jinai ni public law na ni kosa dhidi ya jamhuri ndio maana fine huenda serikalini. kesi za madai ni private law. na unaweza kudai fidia hata billion! Vile vile Diamond alimwambia amlipe 1m akakataa,sasa imekula kwake hata akikata rufaa hawezi shinda kwani kosa la kupiana ni dogo (misdemeanor)
 
Nakubaliana nawe mkuu,isipokuwa kuna jinai na madai. jinai ni public law na ni kosa dhidi ya jamhuri ndio maana fine huenda serikalini. kesi za madai ni private law. na unaweza kudai fidia hata billion! Vile vile Diamond alimwambia amlipe 1m akakataa,sasa imekula kwake hata akikata rufaa hawezi shinda kwani kosa la kupiana ni dogo (misdemeanor)

Jinsi tu unavyoandika mtu hapati shida kujua upo upande gani. Wewe ni pro-Diamond. Bwana mwandishi ana haki ya kuonesha kutoridhishwa kwake na hukumu ya mahakama. Sh milioni moja ni kitu gani dhidi ya kudhalilishwa (kupigwa?) Hata mie nisingeichukua.
 
Sasa huyo mwandishi aende akafungue kesi ya madai,na hukumu ya mahakama ya mwanzo kwny kesi ya jinai itakuwa ni evidence ya moja kwa moja wala kesi haitachukua muda mrefu,unless diamond aoneshe intentio to appeal ndani ya muda..
 
Jinsi tu unavyoandika mtu hapati shida kujua upo upande gani. Wewe ni pro-Diamond. Bwana mwandishi ana haki ya kuonesha kutoridhishwa kwake na hukumu ya mahakama. Sh milioni moja ni kitu gani dhidi ya kudhalilishwa (kupigwa?) Hata mie nisingeichukua.

Sivyo unvyofikiri, mimi ni Pro Judicial Independence. Siwezi kusapoti kupigwa mtu. Kama hajui sheria kwa nini asitafute mwanasheria akamshauri juu ya nini afanye?
 
Nakubaliana nawe mkuu,isipokuwa kuna jinai na madai. jinai ni public law na ni kosa dhidi ya jamhuri ndio maana fine huenda serikalini. kesi za madai ni private law. na unaweza kudai fidia hata billion! Vile vile Diamond alimwambia amlipe 1m akakataa,sasa imekula kwake hata akikata rufaa hawezi shinda kwani kosa la kupiana ni dogo (misdemeanor)

NAAMINI DEGREE YAKO YA LAW UMEIPATA"""CHINA """KAMA MKEO SIO MCHINA LOH
Ani pm tumsaidie free vijana wenye akili wampeleke puta huyo shoga yenu..nani amekwambia awezi kufungua kesi ya madai tatizo degree za kichina mke mchina watoto wa kichina(hili anajua mama tu kama una mwana ni wako au wamekuchakachulia )
 
NAAMINI DEGREE YAKO YA LAW UMEIPATA"""CHINA """KAMA MKEO SIO MCHINA LOH
Ani pm tumsaidie free vijana wenye akili wampeleke puta huyo shoga yenu..nani amekwambia awezi kufungua kesi ya madai tatizo degree za kichina mke mchina watoto wa kichina(hili anajua mama tu kama una mwana ni wako au wamekuchakachulia )

Ndugu yangu nadhani wewe ndio mwenye degree ya kichina, kwa hiyo unashabikia uhuru wa mahakama kutukanwa??? Anyway, nina uwezo wa kutosha ktk hii fani, wadau wangu ndio wanafaham, sio wewe, ni maoni tu.
 
Huyo mwandishi anajifanya mjuaji sana, so alifikili anamkomoa diamond, kumbe kajikomoa yeye
 
Back
Top Bottom