Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
"Rais Mwinyi ni mtu mwema na mpole, lakini ni kiongozi dhaifu; na upole wake na udhaifu wake unatumiwa na watu ambao wala si wema wala wapole kuhatarisha umoja na amani ya nchi yetu" - Uongozi Wetu na Hatma ya Tanzania, Uk. 50-51
"Wengi wanamfahamu Mkapa kama kiongozi aliyekuwa mbabe, asiyekuwa na subira, ilikuwa ni rahisi sana kwake kufoka, kukemea na hata kutumia lugha mbaya dhidi ya wale wenye msimamo tofauti na wa kwake" - Fikra Yakinifu, http://www.freemedia.co.tz/daima/2007/10/24/makala8.php
"Sina kawaida ya kulizwa na mambo ya siasa, lakini katika kikao chicho nilishindwa kujizuia kulia. Sikupata maelezo ya maana ya kuwafanya watu wazima wafanye walivyofanya ... Huu ni uongozi wa ajabu kabisa!" - Mwalimu Nyerere, Uongozi Wetu na Hatma ya Tanzania, Uk. 20
"Wengi wanamfahamu Mkapa kama kiongozi aliyekuwa mbabe, asiyekuwa na subira, ilikuwa ni rahisi sana kwake kufoka, kukemea na hata kutumia lugha mbaya dhidi ya wale wenye msimamo tofauti na wa kwake" - Fikra Yakinifu, http://www.freemedia.co.tz/daima/2007/10/24/makala8.php
"Sina kawaida ya kulizwa na mambo ya siasa, lakini katika kikao chicho nilishindwa kujizuia kulia. Sikupata maelezo ya maana ya kuwafanya watu wazima wafanye walivyofanya ... Huu ni uongozi wa ajabu kabisa!" - Mwalimu Nyerere, Uongozi Wetu na Hatma ya Tanzania, Uk. 20