Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,102
- 53,351
Amekosea nini??dada yako nini kwenye video???me naona hajakosea chochote na ndo tujue dada zetu au wake zetu wanafanya kaz gani Kaka
Hakukuwa kuna haja ya kuweka hiyo video ili hali kila mtu anajua wazi dada zetu na wake zetu wanafanya nini mitaani.
Au wewe ulikuwa hujui?