Kwa jinsi ya pekee, uchaguzi mdogo wa Igunga umefichua mengi mno kuhusiana na matumizi ya pesa kwa ujumla katika kipindi cha uchaguzi! Kwa uhakika inashangaza kuona viongozi wakubwa wa nchi kwa wingi wao walivamia na kuweka kambi pale Igunga. Swali la msingi ambalo ni la kawaida katika kufuatilia matumizi linakuja, je tunaweza ku-establish namna ya kukagua mahesabu ya pesa zilizotumioka be it usafiri, ulinzi wa viongozi wetu wastaafu, malazi chakula n.k. na kutengeneza ustaarabu fulani ambao unasogelea angalau uadilifu kwa kiwango chake?