Suala la kuchagua mke ni very wide coz ukikosea hapo ndo umeharibu ua life forever ingawa utakuwa umependa kwa dhati so take it into consideration pliiiz,,
Hili ni la muhimu sana kuzingatia.
Suala la kuchagua mke ni very wide coz ukikosea hapo ndo umeharibu ua life forever ingawa utakuwa umependa kwa dhati so take it into consideration pliiiz,,
Aika ruwa
You lizzy lazima utakuwa among them the chagaz,, me ni thumu uko bora nikae na wasukuma wenzangu
Hilo nililiweka wazi kwenye post yangu ya kwanza. . .wala sio siri!!!
Alafu kama ni sumu ushauri unaomba wa kazi gani? Wachagga umewaweka kwenye list ili iweje? Au hii ni zile mada zenye malengo ya kusambaza uzushi tu na sio zaidi?
Kwahiyo sasa ushauri unaotaka hapa kuhusiana na Wachagga ni upi haswa?Hakuna uzushi lizzy, I had one chaga mwenye sir name la swai I used to love her so much at the time nikiwa chuo nikitegemea ela ya bodi bt alichokifanya for me iz wat made me to put the chagaz ktk list yangu ila to be honest nilimpenda before cjampata huyu mnyakyusa
Suala la kuchagua mke ni very wide coz ukikosea hapo ndo umeharibu ua life forever ingawa utakuwa umependa kwa dhati so take it into consideration pliiiz,,
Makabila ni vibandiko ambavyo mwanadamu amejiwekea ili kutofautisha baina ya watu wa sehemu moja na nyingine na kwa bahati mbaya vinasababisha kuibuka kwa dhana za kibaguzi.
Maamuzi mazito kama ya kuoa/kuolewa yanahitaji kutilia maanani mambo mengi zaidi ya kuangalia vibandiko,vinginevyo utafanya maamuzi ambayo si sahihi kutokana na kuiogopa hiyo familia yako na mwisho wa siku ni wewe utakayeishi na huyo mke on day to day basis na wala sio familia yako.
I love you Lizzy.
Thank for that bt kumbuka makabila ndo utamaduni ambao mtu analelewa nao so mtu anakuwa kitabia kutokana na mazingira yanayomzunguka, nadhan kwa nam moja au nyingne kabila la mtu linachangia kumshape behavior
Naomba ushauri ktk makabila haya,,chagaz,nyakyusa,waha en wahaya nmeambiwa nisithubutu kuoa btn them coz all of them are the money oriented,my family warned me although they are btful na wanajua utafutaji kujishugulisha kiuchumi,,, wat can I do!!! Coz am in love wit one among them
Naomba ushauri ktk makabila haya,,chagaz,nyakyusa,waha en wahaya nmeambiwa nisithubutu kuoa btn them coz all of them are the money oriented,my family warned me although they are btful na wanajua utafutaji kujishugulisha kiuchumi,,, wat can I do!!! Coz am in love wit one among them
Naomba ushauri ktk makabila haya,,chagaz,nyakyusa,waha en wahaya nmeambiwa nisithubutu kuoa btn them coz all of them are the money oriented,my family warned me although they are btful na wanajua utafutaji kujishugulisha kiuchumi,,, wat can I do!!! Coz am in love wit one among them