Ukaaji huu msikitini Lipumba kurudi madrasati

Mzee Mwinyi kanivutia hisia, kwani anaonekana yuko kwenye kiwango kile cha "Nirvana" madhehemu ya kibunda ambayo Mzee wa watu karibu tafakuri inaelekea kumnyakua juu juu hadi kushangaza watu kumwona kaangama angani akiswali. Hiki ni kiwango cha juu katika swali ye yote va ndugu zangu.

Sasa mwangalie VP asivyokuwa na concentration......Kama anawaza uzinduzi wa KITU KIPYA somewhere na mkasi wake....
 
01%2B%25281%2529.jpg

Yale yale ya kupigana eti Mtume (SAW) hakufunga chini ya kitovu kwani ni ehemu ya utumbo wa kinyesi bali kifuani! Tunawwachia wenyewe! Mpeleke mahakama ya kadhi ushahidi huu unatosha
 
Yale yale ya kupigana eti Mtume (SAW) hakufunga chini ya kitovu kwani ni ehemu ya utumbo wa kinyesi bali kifuani! Tunawwachia wenyewe! Mpeleke mahakama ya kadhi ushahidi huu unatosha

imetolewa picha comment unaongea vitu ambavyo hata havipo mbona udini umewakaa sana kwenye damu.
 
Back
Top Bottom