ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
yaani kama mtoto aliye kulia kitaa halafu uswahilini vile.............
Mtoto wa Sinza huyo. Kaoa kwa fimbo huyo...
yaani kama mtoto aliye kulia kitaa halafu uswahilini vile.............
Hehehe! Ama manyonyo yanachungulia eeh?
Mzee Mwinyi kanivutia hisia, kwani anaonekana yuko kwenye kiwango kile cha "Nirvana" madhehemu ya kibunda ambayo Mzee wa watu karibu tafakuri inaelekea kumnyakua juu juu hadi kushangaza watu kumwona kaangama angani akiswali. Hiki ni kiwango cha juu katika swali ye yote va ndugu zangu.
Vile alivyokaa Lipumba atakosa Thawabu ngapi?Sio lazima kukaa hiyo kuna wengine wabovu wa miguu magoti, na kuna wengine ndani ya msikiti wanawekea viti hawawezi kukaa chini.
Mtoto wa Sinza huyo. Kaoa kwa fimbo huyo...[/QUOTE
si wanasema hanaga mke huyu baba?au?nauliza tu!
Mtoto wa Sinza huyo. Kaoa kwa fimbo huyo...[/QUOTE
si wanasema hanaga mke huyu baba?au?nauliza tu!
wabongo walimshikia kiboko akaoa...
aseeeee
wabongo walimshikia kiboko akaoa...
uuuuuuuwih mbavu zangu!kuoa kwa kiboko umri ule!haya bwana ahsante kwa taarifa
Yale yale ya kupigana eti Mtume (SAW) hakufunga chini ya kitovu kwani ni ehemu ya utumbo wa kinyesi bali kifuani! Tunawwachia wenyewe! Mpeleke mahakama ya kadhi ushahidi huu unatosha
Walao angeinyoosha tu au mkao wa kuchuchumaa kama wengi walivyofanya, yeye kakaa kama yuko kijiweni vile.
imetolewa picha comment unaongea vitu ambavyo hata havipo mbona udini umewakaa sana kwenye damu.
Hivi kumbe hata namna ya ukaaji ni sehemu ya ibaada?
Mi nilidhani ni utamaduni tu wa waarabu kupenda kukaa chini.
kwanin yeye hakupewa zulia hiloz dogo kama wenzake? huenda nayo ikawa sababu kufanya hicho alichofanya.