kwa udhaifu wa mkuu wa kaya na kwa kupenda kwake kuwafurahisha mabwana wakubwa si ajabu atakubali na ataweka kwenye mchakato wa katiba, kama hii ikitokea naanza utaratibu wa kuhama nchi!
Juzi nilijuta kuingia Break Point ya town.....jamaa wanakajumuiya kao kabisa
kazi iko Nyani......hapa mpaka kielewekeHaya sasa na tuone....
ni mwenyewe kabisa......nimekumiss sana........nilikuwa kifungonimmmh Boflo ni wewe kweli!
ni mwenyewe kabisa......nimekumiss sana........nilikuwa kifungoni
kazi iko Nyani......hapa mpaka kieleweke