trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
Hata ukisikia UKOLONI MAMBO LEO,AU UKUWADI WA UTANDAWAZI,naamini kwa hili MEMBE ATASIMAMA KIDETE KUPINGA UFEDHULI HUU!!!
BAK hujasikia society moja ya wamarekani inatumia ammendment (13 au 14 kama sikosei) iliyotumika kudai haki za Negros kudai wale sharks wa kwenye aquariums wapewe uhuru wa kurudi baharini??Dah! Hata kulawiti imeshakuwa ni haki ya binadamu!!!!! Si ajabu miaka michache ijayo kutakuwa na "haki za binadamu" pia za wanaotaka kujamiiana na watoto/wanyama. Msitushinikize kuukubali uhayawani ambao unaruhusiwa katika nchi zenu.
BAK hujasikia society moja ya wamarekani inatumia ammendment (13 au 14 kama sikosei) iliyotumika kudai haki za Negros kudai wale sharks wa kwenye aquariums wapewe uhuru wa kurudi baharini??
Insult zilezile