Inasikitisha kusome na hasa ukutazama mbele hakuna matumaini.
Inasikitisha kwa vile tumeporwa raslimali zetu kwa misingi hii hii ya kupewa misaada. Wananchi wetu wamefukuzwa kwenye maeneo yao, wachache wamefanywa manamba wa kitumwa katiaka migodi hii. Serikali yetu inapewa huo msaada ili kuwafunza na kuwawezesha mapolisi wetu kuwalenda wao na makuwadi wao ili watuibie zaidi. Sasa wamemaliza sehemu kaeribu zote nyeti kwa mikataba ya kilaghai ambayo wanaona itawalinda mpaka hapo watakaotuachia mashimo, magonjwa yatokanayo na uchafuzi wa mazingara, umaskini uliokithiri na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Mkapa ni mla watu ni baba wa mabo haya yote, na fisadi mwenzake Kikwete. Taifa hili halitakaa kuwasamehe kwa haya mliotufanyia.
Ninakosa matumaini kwa vile serikali yetu ni ya kifisadi na mihimili yake yote, sisiemu imekuwa chama cha mafisadi, italinda na kudumisha hulka hiyo kwa njia yoyote ile ikiwa kama wanavyofanya sasa kwa kuchukua madaraka kwa nguvu nje ya matakwa ya wananchi na itazidi kutugawa kwa misingi ya imani, makabila, ukanda nk. Katiba tunayotaka hatutaipata, kama tutapata basi itakuwa mbaya mara 100 kuliko tuliyonayo.. Jk atazidi kuendelea kuuza rasilimali zote zilizosalia katiaka kipindi hiki kwa sababu baada ya kusema hajui sababu ya umaskini wetu akiona fahari bila aibu kuomba omba sasa amekuja na jibu kuwa ni ukosefu wa wawekezaji na uwekezaji wake ni huu wa kifisadi kama alivyofanya mtangulizi wake. Na kama katiba yake mpya haitampa kuendelea kututawala basi watahakikisha fisadi mwingine na hasa Lowasa atashika madaraka.
Kweli tutaendleea kulia na kusaga meno mpaka lini? Kuna mtu alisema humu tuingie msituni. Je tuna haki ya kulalamika tu bila kujua la kufanya? Si misahafu inasema jisaidie nami nitakusaidia! Je babu zetu hawajasema suluhu haiji ila kwa ncha ya mapanga! Basi kwa vile kuna njia za amani kama mijadala nk, basi ziiwe agenda kuu kwa vyama na yale ya kisomi nk
Nani atakaeyeturudishia matumaini Tanzania? Dr Slaa! Nasema NDIYO.
Inasikitisha kwa vile tumeporwa raslimali zetu kwa misingi hii hii ya kupewa misaada. Wananchi wetu wamefukuzwa kwenye maeneo yao, wachache wamefanywa manamba wa kitumwa katiaka migodi hii. Serikali yetu inapewa huo msaada ili kuwafunza na kuwawezesha mapolisi wetu kuwalenda wao na makuwadi wao ili watuibie zaidi. Sasa wamemaliza sehemu kaeribu zote nyeti kwa mikataba ya kilaghai ambayo wanaona itawalinda mpaka hapo watakaotuachia mashimo, magonjwa yatokanayo na uchafuzi wa mazingara, umaskini uliokithiri na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
Mkapa ni mla watu ni baba wa mabo haya yote, na fisadi mwenzake Kikwete. Taifa hili halitakaa kuwasamehe kwa haya mliotufanyia.
Ninakosa matumaini kwa vile serikali yetu ni ya kifisadi na mihimili yake yote, sisiemu imekuwa chama cha mafisadi, italinda na kudumisha hulka hiyo kwa njia yoyote ile ikiwa kama wanavyofanya sasa kwa kuchukua madaraka kwa nguvu nje ya matakwa ya wananchi na itazidi kutugawa kwa misingi ya imani, makabila, ukanda nk. Katiba tunayotaka hatutaipata, kama tutapata basi itakuwa mbaya mara 100 kuliko tuliyonayo.. Jk atazidi kuendelea kuuza rasilimali zote zilizosalia katiaka kipindi hiki kwa sababu baada ya kusema hajui sababu ya umaskini wetu akiona fahari bila aibu kuomba omba sasa amekuja na jibu kuwa ni ukosefu wa wawekezaji na uwekezaji wake ni huu wa kifisadi kama alivyofanya mtangulizi wake. Na kama katiba yake mpya haitampa kuendelea kututawala basi watahakikisha fisadi mwingine na hasa Lowasa atashika madaraka.
Kweli tutaendleea kulia na kusaga meno mpaka lini? Kuna mtu alisema humu tuingie msituni. Je tuna haki ya kulalamika tu bila kujua la kufanya? Si misahafu inasema jisaidie nami nitakusaidia! Je babu zetu hawajasema suluhu haiji ila kwa ncha ya mapanga! Basi kwa vile kuna njia za amani kama mijadala nk, basi ziiwe agenda kuu kwa vyama na yale ya kisomi nk
Nani atakaeyeturudishia matumaini Tanzania? Dr Slaa! Nasema NDIYO.