Tanzania: Ukombozi ni baada ya Kizazi cha 1940-1950 kufa kisiasa
HEBU tuone kama Serikali hii ya chama hiki inaweza ikawa kidume kama Rwanda na kuwaambia Waingereza kwamba kuanzia sasa viza kwa watu wao wanaokuja Tanzania, na kwamba viza hizo zitatolewa Sweden, Netherlands na Ujerumani tu.
Lakini nina hakia lambalamba wetu hawana ubavu huu. Ni kina hewala bwana, lala tu kafiri apite huna la kuonekana mwanmme mbele ya wanaume acha tuuu. Inauma! Lakini tufanye nini jamani????
HEBU tuone kama Serikali hii ya chama hiki inaweza ikawa kidume kama Rwanda na kuwaambia Waingereza kwamba kuanzia sasa viza kwa watu wao wanaokuja Tanzania, na kwamba viza hizo zitatolewa Sweden, Netherlands na Ujerumani tu.
Lakini nina hakia lambalamba wetu hawana ubavu huu. Ni kina hewala bwana, lala tu kafiri apite huna la kuonekana mwanmme mbele ya wanaume acha tuuu. Inauma! Lakini tufanye nini jamani????