Lema kilichomampeleka jela ni kukataa uonevu, alikuwa anapigania haki na usawa. J4 kilichompeleka jela tena mara nyingi ni ujambazi sugu wa kutumia silaha. lakini cha ajabu ccm wamemkumbatia ili akaendelee na umafia wake ndani ya ccm
sasa mbona alivyotoka jela huwa hasemi kitu gani alifanyiwa na mijidume ya gerezani? Aseme sasa mbona anaona aibu.