Lowasa ameapa kulirudisha jimbo la Arusha mjini.Akifanikiwa hapo Urais anajisafishia njia
Not in Arusha! Ataishia Monduli, akijitahidi sana mwisho ni Arumeru Magharibi, tena ni kwa kuwa amewaweka Malaigwanan kiganjani.
Lowasa ameapa kulirudisha jimbo la Arusha mjini.Akifanikiwa hapo Urais anajisafishia njia
Aliiba magari ya mama yako...mbona hamfungui kesi mahakamani, wakati serikali iko chini yenu mna mwogopa....
Kama wewe ndio unayetegemewa na Magamba tawini kwenu kama mjHoja ya msingi hapa ni je Lema alifanyiwa kitu mbaya gerezani au hakufanyiwa?
Ndg. Mkuu wa Mkoa,
Watu wanapigwa na kuonewa sana Daraja Mbili, na huku wakijigamba kuwa wewe na Mkuu wa Wilaya umewahakikishia usalama wao hawa wahuni, jambo ambalo nisingependa kuamini mapema, ila ujasiri wao na ukaidi wao unaweza kuleta hakika kidogo.
Nelson Mandela alisema, kumnyanyasa mtu hakumfanyi mtu kuwa dhaifu bali humfanya mtu kutafuta njia za kujitetea, hivyo basi tazama uchaguzi kwa jicho la haki na Mungu ndipo amani itakapostawi katika taifa letu, ni hatari kuwajengea watu hofu na mashaka eti dola inaweza kuiba kura na kuonea watu wakati wa uchaguzi.
Hekima ya uongozi ni kupigania haki, usawa na utu.
Tumejipanga kulinda utu wetu na haki zetu na Mungu atusaidie.
Tutakuwa tayari hata kufa kwa ajili ya haki. Ushauri wangu kwako siyo CCM kushinda uchaguzi, bali haki kushinda katika Uchaguzi.
Godbless Lema
Wewe pimbi ongea ueleweke...halafu ukome kuwafananiasha CHADEMA na Mkwe wenu CCMabwepande
Lema kilichomampeleka jela ni kukataa uonevu, alikuwa anapigania haki na usawa. J4 kilichompeleka jela tena mara nyingi ni ujambazi sugu wa kutumia silaha. lakini cha ajabu ccm wamemkumbatia ili akaendelee na umafia wake ndani ya ccm
Mmmmmh Busara yote hii ni kweli maandishi ya lema haya ?
Mungi,JF Gold member hustahili kujibishana na watu wa calibre ya Magadu. Kuna hoja ya msingi ya kujadili hapa,usijishushe hadhi.unawashwa na tiGO?
Mmmmmh Busara yote hii ni kweli maandishi ya lema haya ?