UJUMBE WA MBUNGE: Shukrani, Twende Kazi!

Ndugu mh.J.Myika,tunakushukuru sana kwa ujumbe wako. Mimi binafsi najumuika na watanzania kukutakia kheri na baraka katika kazi zako na za wabunge wote wanaoitakia mema nchi hii. Yapo mengi mtakayopambana nayo maana Tanzania huru inahitaji jitihada zetu,tukiongozwa nanyi basi tutafanikiwa. Kwa ili basi napenda kukuomba unielekeze kwa ili: mimi ni mhasibu/graduate nimehitimu IFM napenda kuingia chadema rasmi,ila nataka nipate kadi ya chadema kutoka kwako,au kwa mwenyekiti au katibu mkuu,hapo ntajisikia faraja na pia naanza mapambazo rasmi. Nataka kujiunga ili nisaidie kujenga chama. Ukweli ni kwamba vijana wengi wanahitaji kujiunga chadema ila hawajapata mtu wa kuwaelekeza,kupitia website ya chama registration inakwama,mfano tangu august nimelodge request,mpaka leo sijajibiwa,nadhani hapo kuna tatizo. Naomba kujua siku na saa ambapo kati ya watu niliowataja watakuwepo lini ofisini ili niweze kufika kuchukua kadi yangu nianze kutimiza malengo katika harakati za uzalendo nilizojiwekea. Nijulishe apa au kupitia rbagoka@gmail.com au nipe namba yako nikupigie. Nakushukuru tena na mola akuongoze!

Asante sana, naomba ufike makao makuu ya chama wakati wa kazi onana na Afisa Vijana Ali Chitanda au Mkurugenzi wa Uenezi Erasto Tumbo, yoyote kati ya hao atakupatia kadi

JJ
 
Unawajua Watu wa UBUNGO Mheshimiwa.

Hivyo vitu ulivyovitaja wanavijua tuambie implementation srategy ukiambatanisha na action PLAN yako. SISI WASOMI NA WANANCHI WA KAWAIDA ambao tupo hapa tunasoma UDSM wengine maofisa mipango,treasurers etc.Nenda kwa DAVID Msuya au Mtei wanajua kama usemayo yatafanyika.

Nikuchekeshe, muulize Lukuvi alikuwa anachakachua maofisa Ardhi Kinondoni amemaliza? yupi anaanza kuwepo Ofisa ardhi au ofisa mipango miji. Unazijua X za kwenye majengo na Barabara hapo pana akili kweli chukua kwanza Master Plan ya ubungo uijue. Vtuo vya Police vingine viko barabarani eti vya dharura sababu ni Police. Yule Mkuu wa Wilaya Konisaga alikuwa Diwani yule aliweza kuzungumza akaishia kupewa ukuu wa Wilaya.Ule yamini tukuone nguvu yako maana mageuzi unayapenda lakini dhiki na shida huna wewe kweli maana vyaleta dhambi hivi BWANAAA>
 
tupo pamoja, tatizo kubwa la jimbo la ubungo ni maji, na vibaka wa pale mataa. nakuaminia kijana mwenzangu. fanya kazi jenga chama. GOD BLESS U
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom