John Mnyika
JF-Expert Member
- Jun 16, 2006
- 712
- 1,240
- Thread starter
- #81
Ndugu mh.J.Myika,tunakushukuru sana kwa ujumbe wako. Mimi binafsi najumuika na watanzania kukutakia kheri na baraka katika kazi zako na za wabunge wote wanaoitakia mema nchi hii. Yapo mengi mtakayopambana nayo maana Tanzania huru inahitaji jitihada zetu,tukiongozwa nanyi basi tutafanikiwa. Kwa ili basi napenda kukuomba unielekeze kwa ili: mimi ni mhasibu/graduate nimehitimu IFM napenda kuingia chadema rasmi,ila nataka nipate kadi ya chadema kutoka kwako,au kwa mwenyekiti au katibu mkuu,hapo ntajisikia faraja na pia naanza mapambazo rasmi. Nataka kujiunga ili nisaidie kujenga chama. Ukweli ni kwamba vijana wengi wanahitaji kujiunga chadema ila hawajapata mtu wa kuwaelekeza,kupitia website ya chama registration inakwama,mfano tangu august nimelodge request,mpaka leo sijajibiwa,nadhani hapo kuna tatizo. Naomba kujua siku na saa ambapo kati ya watu niliowataja watakuwepo lini ofisini ili niweze kufika kuchukua kadi yangu nianze kutimiza malengo katika harakati za uzalendo nilizojiwekea. Nijulishe apa au kupitia rbagoka@gmail.com au nipe namba yako nikupigie. Nakushukuru tena na mola akuongoze!
Asante sana, naomba ufike makao makuu ya chama wakati wa kazi onana na Afisa Vijana Ali Chitanda au Mkurugenzi wa Uenezi Erasto Tumbo, yoyote kati ya hao atakupatia kadi
JJ