Ujumbe wa maandamano mwanza salaam kwa spika makinda!!!!!!!!!!!!!!

Mtu wa Mungu

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
444
19
Kikao cha bunge cha mwezi Februari 2011 kimedhihirishia Watanzania kwamba spika Anna Makinda na wabunge wake wa sisiemu wana dhamira ya kukandamiza kwa lengo la kuua nguvu bungeni ya upinzani wa kweli nchini. Hii inatokana na mambo makubwa mawili yaliyojitokeaza zaidi:-
1) Kunyamazisha kwa hasira watoa hoja wa CDM hata kwa masuala ya maslahi kwa taifa-ama kuapuuza na kuendelea kama vile hawa hawalindwi na kanuni za bunge!!!!!!!!!!!!!
2) Kutumuia ubabe kupora haki za kikatiba za CDM katika nafasi za uongozi wa kamati za bunge kwa kupindisha kanuni za bunge na kuendesha kwa chuki kura za kubadili kanuni ili kudhibiti CDM kama serikali kivuli bungeni; ikizingatiwa kwamba kwa mara ya kwanza katika historia ya bunge la Tanzania kuwa na serekali rasmi kivuli ya chama kimoja bungeni!!!!!!!!!!!!

Ujumbe ulio wazi kutokana na maandamano ya Mwanza ni kwamba spika Makinda asiposoma alama za nyakati za siasa ulimwenguni atawapeleka wananchi kuwataka CDM wakusanye takwimu za unyanyasaji dhidi ya upinzani bungeni ili ziwemo kwenye agenda za maandamano makubwa yanayokuja!!!!!!!!!!! Inaonekana wazi kwamba sisiemu na serikali yake na spika wao wameamua hata kutumia hata uongo kwa masuala nyeti kwa maslahi ya taifa, km Pinda kudanganya watanzania waziwazi kwa suala la Arusha, wakati mashuhuda wa suala hili ni watanzania wa Arusha; spika Makinda kumzima kibabe mbunge wa CDM aliyeomba mwongozo wa spika kuhusu mabomu ya Gongo la Mboto kwa madai kwamba maafa hayo siyo priority, lakini kimsingi, simply kwa kuwa ni mbunge wa CDM; halafu ghafla Pinda akainuka ghafla kutoa hotuba ya kufunga bunge hadi 5.4.2011-ikumbukwe kwamba siku mbili za mwisho bunge halikukaa na hivyo mambo muhimu kama malipo ya nk Dowans hayakujadiliwa>>>>>>>>>>>>>>>
Kwa dalili hizi kama spika Makinda ataendelea na mtindo huu, wananchi tutalazimika kuitaka CDM ilete tatizo la spika na Pinda kwa wananchi kushughulikiwa kwa njia ya peoples pawa, ambayo imeonyesha mafanikio makubwa Tunisia, Misri na sasa Libya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Tumefarijiwa sana na maandamano ya Chadema ya jana Mwanza baada ya maumivu makubwa ya mauaji wa wananchi na polisi wakati wa maandamano ya Arusha. Pia maumivu kutoka kwa Spika Makinda kukandamiza kwa makusudi hoja za wabunge wa Chadema.

Spika Makinda na wabunge wa CCM wafahamu kuwa wanaweza kuwanyima haki wabunge wa Chadema bungeni, lakini hawataweza kamwe kuzuia hoja za Chadema kuwafikia wananchi walio na kiu ya ukombozi. Peoples' power itawaaibisha, wao waendelee kulala!
 
Makinda endelea kusimamia kanuni za bunge! Bunge sio kijiwe cha mtu kuongea kibatabata! Ukiona wanalalamika hivi ujue umewashika kwenye p.....u walijua utafurahia ujinga wao! Roho zina wauma sana kuzikosa hizo kamati 2 ni watu wabinafsi haijawahi tokea! Endelea wasikutishe na maandamano yao hayo!
 
Tumefarijiwa sana na maandamano ya Chadema ya jana Mwanza baada ya maumivu makubwa ya mauaji wa wananchi na polisi wakati wa maandamano ya Arusha. Pia maumivu kutoka kwa Spika Makinda kukandamiza kwa makusudi hoja za wabunge wa Chadema.

Spika Makinda na wabunge wa CCM wafahamu kuwa wanaweza kuwanyima haki wabunge wa Chadema bungeni, lakini hawataweza kamwe kuzuia hoja za Chadema kuwafikia wananchi walio na kiu ya ukombozi. Peoples' power itawaaibisha, wao waendelee kulala!
Kumbe inaonekana spika Makinda ameumiza roho za waTz wengi!!!! Heri yake aliyeanzisha yale ya Tunisia, ambaye ameleta balaa kwa Hosni Mubarak wa Misri, na sasa Gadafi anatiwa adabu!!!!, bila kusahau yanayoendelea sasa hivi Iran, Bahrain, Algeria, Yemen, Kuwait, Oman, Jordan, Morocco, ambayo yote ni mtoto wa ya Tunisia-kwa speed ya ajabu!!!!!!!!; na yule wa Tunisia inasemekana yuko tabani kuaga dunia! Waheshimiwa Freeman na timu yako bungeni kusanyeni data mtumwagie huku nje kuhusu unyanyasaji wa huyu mama-kuna siku alimnyanyasa Mhe Halima Mdee ikaniuma sana!!!!!!!! Mwekeni kwenye ajenda ya viongozi wa sisiemu wa kushitakiwa kwa umma!!!!!!!!!!!!! Mna sehemu mbili za kumshitaki mkwere-kwa pipoooosss na kwa David Martin aliyezuiliwa kuingia kwenye chumba cha kujumlisha kura za rais, na ikamuuma mpaka akaamua kuandika kwa jazba ingawa kwa lugha ya kidiplomasia!!!!!!!!!!!!!!!!! MPAKA KIELEWEKE---PIPOOOOOSSSS PAWAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! It has worked in Tunisia, Egypt and now aluta continua in Libya!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Makinda endelea kusimamia kanuni za bunge! Bunge sio kijiwe cha mtu kuongea kibatabata! Ukiona wanalalamika hivi ujue umewashika kwenye p.....u walijua utafurahia ujinga wao! Roho zina wauma sana kuzikosa hizo kamati 2 ni watu wabinafsi haijawahi tokea! Endelea wasikutishe na maandamano yao hayo!
Hata ukijariju kutetea haisaidii, wewe kama Gadafi mtakwenda tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Makinda endelea kusimamia kanuni za bunge! Bunge sio kijiwe cha mtu kuongea kibatabata! Ukiona wanalalamika hivi ujue umewashika kwenye p.....u walijua utafurahia ujinga wao! Roho zina wauma sana kuzikosa hizo kamati 2 ni watu wabinafsi haijawahi tokea! Endelea wasikutishe na maandamano yao hayo!

Hata Hosni Mbaraka wa Misri na Ben Ali wa Tunisia walikuwa na washauri wapuuzi kama wewe na maswahibu yalipowapata wao walisalimika!Kwa upande mwingine unatusaidia kuwahamasisha waendelee kuboronga kama alivyo fanya Makamba wakati wa uchaguzi.
 
Back
Top Bottom