Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,738
- 155,422
BARIKI WALA USILAANI! (Warumi 12:14; Luka 6:28, I kor 4:12,13)
"Wabariki wanaowaudhi, barikini, wala msilaani pia, wabarikieni wale ambao wawalaani ninyi.
Mtume Paulo akiwaandikia Wakorintho jinsi wao walivyofanya anasema; tukitukanwa twabariki, tukiudhiwa twastahimili; tukisingiziwa twasihi.
Na wewe fanya kama Mtume Paulo ukitukanwa kwa sababu ya kuokoka bariki, ukiudhiwa kwa sababu ya wokovu stahimili au vumilia, ukisingiziwa uongo, jifunze kujibu kwa hekima!
"Wabariki wanaowaudhi, barikini, wala msilaani pia, wabarikieni wale ambao wawalaani ninyi.
Mtume Paulo akiwaandikia Wakorintho jinsi wao walivyofanya anasema; tukitukanwa twabariki, tukiudhiwa twastahimili; tukisingiziwa twasihi.
Na wewe fanya kama Mtume Paulo ukitukanwa kwa sababu ya kuokoka bariki, ukiudhiwa kwa sababu ya wokovu stahimili au vumilia, ukisingiziwa uongo, jifunze kujibu kwa hekima!