'Kama huna 'kizazi' usihangaikie ndoa'
'Kama huna 'kizazi' usihangaikie ndoa'
'Kama huna 'kizazi' usihangaikie ndoa'
Hivi umeolewa/kuoa?'Kama huna 'kizazi' usihangaikie ndoa'
na enendeni mkaijaze dunia........kazi ya ndoa ni kuzalishana tu?
Vitu vingine jamani. Kwahiyo kama wewe "umejaliwa" hicho kizazi unaona kwamba wewe ni bora kuliko ambao hawakujaliwa?
Mimi nitajuaje kama nina kizazi au sina, si mpaka nioe?, nitamjaribisha mtu kwanza ndio nioe?
Wrong massage!
'Kama huna 'kizazi' usihangaikie ndoa'
Kizazi ni nini bana watoto wanapatikana tu hata mj alitengeneza watoto na wapo wanaendelea kukua tu.