Ujumbe wa Jane wa Mwenge kwa mlio lala nae

Status
Not open for further replies.
sina uhakika kama Bongo kuna technologia ya kubaini virusi one week tangu uambukizwe. Naomba nielimishwe.

Ukweli unabaki palepale wanao ambukiza wenzao kwa makusudi ni wengi sana kuliko tunavyofikiri, na tatizo ni kwamba hawatuambii pale wanapohisi wametuambukiza. Tulizana
aliambiwa baada ya wiki moja halafu akaa kama wiki moja ndipo akaenda kupima na akakutwa ana mdudu....
 
Dah ujue kuna mambo ambayo si ya kutaniana!! Nambieni alisoma wapi baada ya form four?! hakyanan!! Ama siye yule!!?
 
mmmmmmmmmmh,aisee huu kweli ni mtandao,jane alifanya vibaya sana kuambukiza kwa makusudi
 
Aise ya Jane ni kali ila pia inatokea kwa wengi kuwa wanaambukiza VVU kwa visasi. Ila pia Jane amesema alipima like after 3 weeks na akakuta ana VVU? Kweli niambieni wakubwa incubation period ya VVU ni muda gani? Ninajua ni after 3 months kwa vipimo vya kawaida na ni within 6 weeks kwa kile kipimo agali sana (wataalam wanajua jina lake). Labda Tuko aje hapa atupe tena somo.
Ila pia ni hatari sana kama una VVU unatembea na umati wote huo wakati kwa dar every 4-7% wana ngoma!! It means mtu 4 hadi 7 katika mia ina uwezekano wa VVU!! Saa ina maana alichukua virusi kwa watu 1500/4=375 !!! Daha ana bahati sana hajaanza kuungua ukimwi!!!
Ninavyofahamu kama utapata VVU halafu ukakubali na kutulia bila kuuingiza virusi wapya (kwa kutumia ngono salama) unaweza kuishi muda mrefu bila ARV. Kuna rafiki yangu alikubali hali na ameamua kutopata maambukizi mapya toka kwa wangine na ni mwaka wa 10 hajaanza kutumia ARV na CD4 ziko juu.
 
ooh my god Jane??! Am dyng 4 nothing keleuuuuuuwiii tutulzane vidume kuvua watoto wa watu b,kin kwa sana sio ujanja bana ujanja ni kutunisha Epa zetu
 
Kama umeona tulia na mkeo, kama bado uko single tulizana pia uwe na mpenzi mmoja lakini kubwa kuliko yote mtangulize Mungu kwa kila jambo, vinginevyo chain ya Jane haikuachi ng'o

Tuombe mungu tu hapa kilichobakia maana ujanja hamna...
 
Hehehe sa si ndo Dar es salaam nzima.. Kama sio Tanzania maana huyo wa Arusha je uko ..
Kwa mfano James kalala na Jane kahamia Mbezi amla na Joy. Af Joy akahamia kimara kwa bf wake anaetembea na Ester..
uku Joy kajua kahamia Ilala anatoka na Jose ...
Af Ester akarudi kwa babu yake Mbagala akalala na inno boy wake permenet af Inno akahamia Tegeta anamzengea Glory mapepe aliekuwa demu wa Jamal wa Mwenge ambae pia alishamkula Jane..uwiiiiiiii thez no way kama wote walipita nyamanyama..oh no! God Help....
Njoo huyo shetan wa Arusha.. Anawakamataje watoto wapenda ofa???!!!!
Wasopitwa na fashion ...imagine kila siku au kila wiki watu wawil wameambukizwa oh God!!
 
Naweza kuwa nimekosea... Ila kwa mimi hii story imekaa ki hadithi mno. Ok, ni kweli wanaume wanatongoza saana na anaweza kuwa kaathirika anajua na akalala na binti/dada/mama bila kujali kuwa anamuambukiza huo ugonjwa. Ila kusema kweli ni nadra sana kuwa huyo mwanaume atakutamkia kuwa kakuambukiza makusudi na kuwa sasa uishi kwa matumaini.

Tukiacha hayo; suala la HIV/AIDs ni mtihani kwa wanajamii wote, iwe wanandoa ama walio nje ya ndoa. Kushinda na kukwepa maamubukizi ni kama tu hufanyi kabisaa! (Ama kwa zile couple ambazo zimebahatika kuwa na wenza ambao KWELI ni waaminifu ndani ya mahusiano yao).

Uzuri ama ubaya wa ugonjwa huu haukupati kwa misingi ya tabia uliyo nayo... Haukuogopi kuwa wewe unasali sana, kuwa wewe unatoa sana sadaka, kuwa wewe unapendwa sana, kuwa wewe ni bikira, na mengine meengi! Pamoja na kusema tabia ya kuendekeza ngono zembe inaongeza uwezekana wa kuupata ugonjwa, FACT inabaki kuwa unaweza kuwa na tabia ya utulivu, umemkumbatia Mungu, mtenda mema lakini bado ugonjwa ukakukuta. Ni kuomba tu Mungu kuchelewa kuupata na huku WEWE mwenyewe mhusika ukijitunza kuhakikisha kuwa unakuwa salama kutopata ugonjwa OR kujitunza baada ya kuupata.

Kuna kitu huyu Jane wa Mwenge kasahau... Yeye anadhani kuwa kulala na woote hao alikuwa akisambaza na kuwaambukiza huo ugonjwa hao marehemu na walio hai bado. Kasahau kuwa ugonjwa huu ni wengi sana wameathirika... Kashindwa utambuzi kuwa nguvu ya virusi vinatofautiana kati ya mmoja na mwingine na hivyo kulala na wote hao ilikuwa inadororesha afaya yake na si tu kutoa maambukizi. Na kasaha kua mwisho wa dhambi ni mauti... Kumjua Mungu mwishoni si tu anatoa/futa ugonjwa mwilini... Ila tu anatengeneza nafsi na roho yake kuwa kuondoka kwake kwa njia ya kifo iwe ya Imani kwake na kumpunguzia woga wa kuface ni nini kinapatikana baada ya kifo.

Hata hivyo niseme kuwa inasikitisha saana jinsi wanadamu (hasa wanawake) tulivyojishusha thamani kiasi kwamba tunaweza patikana kwa kirahisi kama nyanya za sokoni... Unaweza okota nyingine ikianguka toka kwenye tenga. Huu ugonjwa ni mtihani... Huwa tu inasikitisha pale watu ambapo hufanya ngono zaidi kuwaathiri wengine kwa malengo ya kukomesha. Sad.

ah mwenye maskio na asikie.

ila huyo jane nani kamwambia kwamba yeye ndo chanzo cha vifo vya hao marehemu.
anajuaje labda nusu au hat 99.9% ya wanaume aliolala nao walikua tayari wameambukizwa huko walikotoka na yeye si mhusika?

ah ngono hatuachi ngo, watu wanaongea tu lakini ngono wanafanya tena sanaaaaaaaaa

cha msingi condom
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom