Ujumbe wa Diamond kwa bintiye Wazua Utata

proxy

JF-Expert Member
Jul 3, 2016
1,468
1,329
1.jpg

Diamond Platnumz si mgeni kwenye jumbe tata kwenye mitandao ya kijamii.Lakini ujumbe wake mpya kwa bintiye,Tiffah umesababisha mjadala mkubwa.

Akiweka picha ya binti yake huyo ambaye mwezi ujao anatimiza mwaka mmoja, Diamond aliandika: Buff day Girl! my little Pumpkin My Miss World @princess_tiffah kua mama, nikupe Raha ya Dunia na ujifaidie Ustar wako….. ila dah ukikua chonde mama ukitunze wasikile sana #KIDOGO tu, Maana ntalificha wapi hili sura langu.”

Maneno: Ukikua chonde mama ukitunze wasikile sana #KIDOGO tu’ ndiyo yaliyosababisha povu la haja.

Hizi ni baadhi ya comments:
Twinsrebeccita: Hivi mtoto hajafikisha hata miaka miwili ushaanza kufikiria masuala yake ya ngono!!!! Maneno ya bure kwako, usitumie utupu wa mwanao kutangaza biashara yako.

Precioushamis: Mungu auTunze usichana wako /ujana wako tiffah, kinywa cha baba yako kishindwe kwa jina la yesu amina

Jahmolbiggz: Daym did u just wrote that? Any real Dad out there won’t even think of writing such words to her dota.. Shit is Crazy

Madimwashiti: @princess_tiffah never follow your parents foot steps. U need more prayer. @diamondplatnumz better pray for this little girl coz what goes around comes around. Many many little SIMBAS out there want spare you dear. That is my own thoughts. Think about it NASSEB

Neyesu Daniel: Diamond ww sio baba mwema! Utaanzaje kumwambia bint ako ivo!? Umenikera mbna unakosa madil ya kiafrika?? Acha izo bna kama ww una njia ambazo si nzur bc mfunze mwanao akue vema!

Rajabu Mussa: Tena atakua amefuata Tabia Za Huku na huku(kwa maza n baba) maana kote kote hakuna mwenye afazali…….ukila nawe utaliwaaaaa japo #Kidogo

Tuzo Hella: Atii aliwe kidogooo!!! Labda wakati anaandika hiyo post hakuwa poa!!alionja kidogo ile kitu ya Arusha inarushanga akili,coz diamond hukogi na akili mingi sasa alifikiri nn kuandika hayo maneno hayo!!eti mtt akulwe kidogo kweliii!!!! D your not serious
Unaounaje ujumbe huo?
 
Background za huyo mtoto na babake zina halisia kile babake alichotamka juu ya mwanae.

Njia iliyomfikisha diamond hapo ndiyo hiyo hiyo atakayopitia huyo mtoto hata kama mtatoa comments huku mkitoa machozi ya damu..!!
 
me nazani diamond anafanya vizur miaka hii hakuna kuoneana aibu kumuonya mtoto kwa sasa mtoto miaka 12 anagongw sasa kwanin tusiwaeleze watoto ukweli ili wasialibike
 
Kama mtoto kapatikana kwa njia ya UZINZI kutoka kwa wazazi WAZINZI unategemea jema jipi kutoka kwao...inakuwa kama laana na maneno yanaumba kwa maneno hayo asijekushangaa katoto kakiwa age 12 watu brake p*mbu je akifika 20 itakuwaje!maana hata imani wanayoiamini inawakataza kuzini kwani kufunga ndoa si simple tu kipi kiliwachofanya washinndwe...labda uwezo!?wakiiuza hiyo device aliyotumia kupost huo utumbo wanafunga harusi na change inabaki.
 
Back
Top Bottom