Ujumbe mzito kutoka Senegal

kwetu huku mkipinga hivi.utamsikia rais wa nchi anasema mnataka kumpindua....lakini siku sio nyingi tutapiga kura ya kuchagua rais haifiki 2015
 
tukiandamana hapa watasema ni uchochezi wa cdm!! na pengine intelijensia inaweza isiruhusu
 
cku watu watamka usingizini ndo cku serikali itajilaumu kwanini aikudeal na haya mambo madogo madogo.. Kuna mambo mengi wananchi wameavumilia, cku hio ndo nchi itawaka moto.
 
kuna thread ilikuwa posted jana kwenye jukwaa la siasa kuwa kwa uwoga wa wa-tz tusubiri hadi idadi ya watu kama milioni nne wafe kwa njaa na umaskini majumbani mwao ndio wafanye move. Nadhani wa-tz tuamke jamani, namnkuu Kimilidzo 'Inafikia wakati mtu unaona kama kuwa mtanzania ni upumbavu' kauli hii nathubutu kusema ina ukweli fulani, leo hii huwezi kuwa nje ya nchi halafu ukajitambulisha kirahisi kuwa unatokea Tz
 
Mnataka kuiga kila muonacho kwenye TV ? Hao wa senegal waulize baada ya kuandamana na kchoma moto majengo na magari walifanikiwa kupata huo umeme ?
 
Back
Top Bottom