Ze mimi
Senior Member
- Oct 13, 2013
- 127
- 16
Ndg.Mulugo ni muda mrefu sasa umekuwa ukinukuliwa mara kadhaa ukitoa maagizo au matamshi ambayo kiukweli yanadhalilisha nafasi uliyopewa na mh Dr.Jakaya Kikwete rais wetu mpendwa,sasa tunaomba utuambie tatizo ni nini?
Pili,acha tabia ya kuficha udhaifu wako kwa kuwatisha watendaji walio chini yako,mf waalimu maana wengi wao kiukweli ni wanyonge.
Pili,acha tabia ya kuficha udhaifu wako kwa kuwatisha watendaji walio chini yako,mf waalimu maana wengi wao kiukweli ni wanyonge.