Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Wazee wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki wakidai mafao yao Ikulu leo. (picha kwa hisani ya Michuzi)
Wazee wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki wakidai mafao yao Ikulu leo. (picha kwa hisani ya Michuzi)
msijidanganye ndugu
hawa wanaitwa pale diamond jubilee, utawaona wote na mashart ya kijani hawa
sio wazee wa Tanzania ndugu yangu, hawa wa Tanzania wao CCM ni kila kitu, sasa wacha waipate kidogo
Hawa wazee hawako serious. Just imagine wanapanga move ya kwenda kumuona Rais ili waeleze kinachowasibu, anakuja Kandoro na Kova kuwapa bla! bla! zao kisha wanaridhika na kuondoka. Jaribu kufikiri Kandoro au Kova ana nini cha kufanya juu ya matatizo yanayohusu mafao yao. Hivi kweli Kandoro au Kova ndio wataenda Ikulu kumweleza Mh. awalipe hayo mafao?, kama wanaridhika na uongo wa watu hao, b'se they can't intervene any how, they are just politicians, who will manage to convince them that CCM has its hand on their problems and they need someone to chop it out.
Una maana gani? Hawa wazee walikuwepo hapo Ikulu jana mchana.
Wazee wanaweka historia; mpaka kieleweke! Mimi nawapa thumbs up [media]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon14.gif[/media]
.
Hao wazee wa watu wapeni chao wakapumzike ili haya mambo ya ufisadi yasiwajie vichwani mwao tukakosa baraka zao, kwanza watu wenyewe sasa wameshafikia magharibi, mnataka wafe halafu hizo hela zao mzipeleke wapi?
Wanafunzi waandamane
Wazee waandamane
Juzi walimu walipanda malori kuja Dar kudai mishahara yao
Aliyebakia ni nani?.
Mungu wabariki watanzania wote.
..hivi jamani East Africa community imeisha karibu miaka 30 na hawa wazee bado hawajalipwa chao? hebu wawe na huruma kidogo hizi dhuluma hazifai kwa hawa maskini,wapeni haki yao tuu this is too much...30 yrs?