yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Kutokana na dalili za TFF zilizoonekana wazi kuzibeba timu za simba na Azam,na kutuharibia soka letu tunapenda kuwataarifu mashabiki wa Yanga kutoiunga mkono timu ya Taifa starz kwa namna yoyote ile na zaidi ya hapo mnaombwa kujitokeza katika mechi za taifa starz na kuwashangilia wageni mwanzo mwisho hadi kuzimia uwanjani huku tukiwa tumevaa jezi zetu za njano kupinga adhabu za kiuonevu nawaliostahili adhabu kupewa adhabu kubwa kupindukia. kwa kuanzia tutaanza na mechi ya simba na wa algeria.katika mechi hiyo tunatakiwa kujitokeza na kuwashangilia wageni kuliko ile ya simba dhidi ya tp mazembe.Na hata Azama ikifuzu mechi za kimataifa .Pia wanayanga tunatangaza rasmi bifu na jopo la michezo la cloudz ambao ni wanachama wa Simba kutokana na kuwa vinara wa kampeni ya kufungiwa wachezaji wetu .mpango huu unaitwa SOKA ANTIVIRUS