Elections 2010 Ujumbe kutoka kwa Dk Slaa:

Negotiator

JF-Expert Member
Aug 9, 2010
303
44
Watanzania wameshakubali kufanya mabadiliko makubwa. Rais Jakaya Kikwete ajiandae kuaga Ikulu, astaafu baada ya mika mitano ambayo haikuleta matumaini yaliyotarajiwa. Serikali isitumie mabavu kuumiza wananchi wanaotaka mabadiliko. Isimwage damu kwa ajili ya maslahi binafsi ya wanaotafuta madaraka au wanaong’ang’ania madaraka.
Rais Kikwete asiviingize vyombo vya ulinzi katika dhuluma inayoweza kusababisha damu ya Watanzania kumwagika kwa ajili ya madaraka ya wachache.

Sourrce; Utakapojua Hujui Ndipo Utakapojua
 
watanzania wameshakubali kufanya mabadiliko makubwa. Rais jakaya kikwete ajiandae kuaga ikulu, astaafu baada ya mika mitano ambayo haikuleta matumaini yaliyotarajiwa. Serikali isitumie mabavu kuumiza wananchi wanaotaka mabadiliko. Isimwage damu kwa ajili ya maslahi binafsi ya wanaotafuta madaraka au wanaong'ang'ania madaraka.
Rais kikwete asiviingize vyombo vya ulinzi katika dhuluma inayoweza kusababisha damu ya watanzania kumwagika kwa ajili ya madaraka ya wachache.

Sourrce; utakapojua hujui ndipo utakapojua

mkuu umesahau kuwakumbusha wote wanaotaka mabadiliko kuchangia hiyo process, tuachane na mamabo ya ccm kuwadanganya wananchi kuwa tunao wajomba somewhere wa kubeba mizigo yetu. Wapatie na namba za kuchangia na kuwafahamisha umuhimu wake ili kukamilisha kiporo kilichobaki
 
Back
Top Bottom