Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,948
- 710
Ujumbe kama huu unafika sehemu uliyokusudiwa? Kwa nchi za wengine, kiongozi mojawapo wa serikali particularly kutoka idara husika hutoa tamko kuhusu maoni ya wananchi pale wanapokuwa concerned na issue fulani.
Nini kifanyike hasa hapa kwetu Tanzania ili kuzibua masikio ya viongozi wetu kuhusu matatizo ya wananchi?