samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Naomba upitishe mchango wawazi kwa wabunge wote waliotayari na walioguswa na kuokoa uhai wa mpendwa wetu, ndugu yetu,mtaalam wetu Dr Ulimboka iliaweze kwenda kupata matibabu! NIOMBI.
mkuu hili swala lisigeuzwe kama mtaji wa kisiasa kwa chadema.kwanza ni kutomtendea haki Dr. Ull vilevile ni kuwapa ccm pa kujishikia kwenye tuhuma nzito kama hii maana mpaka sasa hawajui wampakazie nani. Madam mashirika ya haki za binadam yapo nafikiri ndio muda muafaka wa kuonyesha yapo Tanzania kwa ajilili ya kutetea haki za binadam.!
Akithubutu tu kuchangisha lazima CCM wampige ban maana anataka kuwaharibia "project" yao.Dr Kigwangwala ambae ni rafiki mkubwa wa Dr Ulimboka anaweza kulifanya hilo vema zaid huko Bungeni, akishirikiana na Dr Ndugulile, na wakakusanya pesa ya kutosha tu kwa ajili ya Kamanda Ulimboka kutibiwa.
Naomba upitishe mchango wawazi kwa wabunge wote waliotayari na walioguswa na kuokoa uhai wa mpendwa wetu, ndugu yetu,mtaalam wetu Dr Olimboka iliaweze kwenda kupata matibabu! NIOMBI.
Dr Kigwangwala ambae ni rafiki mkubwa wa Dr Ulimboka anaweza kulifanya hilo vema zaid huko Bungeni, akishirikiana na Dr Ndugulile, na wakakusanya pesa ya kutosha tu kwa ajili ya Kamanda Ulimboka kutibiwa.