Ujue ukweli kati ya mwingira na afro plus

hosan

Member
Feb 10, 2012
45
18
Wanajf katika gazeti la mwananchi la leo imetolewa taarifa kwa umma kuhusu ukweli wa umiliki wa kiwanja kinachogambaniwa kati ya Efatha na Afro Plus pamoja na sakata zima la polisi. taarifa imeambatanishwa karibu
 

Attachments

  • scan.pdf
    5.7 MB · Views: 434
Wanajf katika gazeti la mwananchi la leo imetolewa taarifa kwa umma kuhusu ukweli wa umiliki wa kiwanja kinachogambaniwa kati ya Efatha na Afro Plus pamoja na sakata zima la polisi. taarifa imeambatanishwa karibu
Hii taarifa ni sahihi na ni nyaraka muhimu ya ushindi mahakamani,tatizo ni papara za Mwingira na unabii wake! ameibiwa mgogoro mkubwa na waislamu na sasa anatuhumiwa kuchoma koran. mshauli atulie Mahakama itende haki na sio Fanaticism.Hakuna imani inayotuongoza kuharibu mali za Waislam.Huwezi kumutetea Mungu kwa uhalifu halafu ukasema amekugania,huo ni upotofu!
 
Hiyo document aliyotoa mwishowe watasema amekwenda kinyume na kuhukumu mwenyewe na kujipa ushindi
 
Kulingana na habari zilizotolewa Jumatatu na Jumatano kupitia TElevisheni ya ITV, inaonekana wazi mmiliki halali wa Kiwanja ni Efatha Foundation.

Kinachosikitisha ni kwamba maamuzi ya Court (mahakama) hayajafuatiliwa na Afro Plus kama ilivyo Tenants (wapangaji) makampuni mengine waliokwisha ondoka mahali hapo akiwemo SIMION Engineering n.k.

Sasa kama Efatha walinunua hiko kiwanja kwa ajili ya matumizi yao, Watakaa na kusubili mpaka lini huyo mmoja Afro plus aliyebaki aondoke?

Serikali iko wapi?, Wasilaumiwe wamevunja Sheria, SERIKALI INACHANGIA katika hili, ila kama hawapo tayari basi MUNGU Atawasimamia watoto wake.:nod:
 
Mungu aliye hai atasimama katika hili na itajulikana nani ni miliki halali na kama walivyo fanyiwa efatha ni haki au la!
 
Serikali yetu huwa inasubiri "maji yamwagike kwanza ndio waanze kutafuta namna ya kuyazoa"
 
Kazi ipo.
Ukute kuna fisadi aliwauzia eneo kisiri hao Afro Plus kwa utapeli, unaweza kuta nao wana nyaraka halali za kumiliki eneo hilo. Ngoja tusubiri maamuzi ya mahakama.
 
Mbona mig0goro ya ardh inamuandama xana mwingra?
Bagam0yo aliparuana na wanakijij,cjui imeisha?
 
jamani hapa chini ya jua hakuna haki, ukisubiri haki utazeeka wala usione, hapo tuombe hekima ya viongozi wetu watukufu na mungu awasaidie waweke udini pembeni watende haki. pia wewe afro plus acha chokochoko kama unajua una haki kwanini uendelee kunga'angania hapo au unalako jambo, hivi watz tunaweza kwenda India, kwenu tukafanya hivyo? mbona watanzania mnatuonea hivi? vibovu tuletewe sie, wanyama wetu mnachukua tunawaangalia tu, dhahabu ndio msiseme, sasa ulivyomjinga umeona pesa ulizoonga hazifanyi kazi unaanza kuwaingiza waislamu ili ionekane kama ugomvi sio kiwanja tena bali ni vitabu vya dini. mjinga kabisa tena ukome. na kama kweli nyie ndungu zangu shekhe ponda mnakaa vikao na huyu mtu kwa ajili ya vipesa vyake mbuzi ambavyo anatumwa na wahindi wenzie tafadhali nawasihi angalieni upande wa pili wa shilingi huyu jamaa anataka awatumie kupata anachotaka akishapata anaenda kwao sisi tutabaki tunapigana na kuuana yeye hatakuwepo.

Kulingana na habari zilizotolewa Jumatatu na Jumatano kupitia TElevisheni ya ITV, inaonekana wazi mmiliki halali wa Kiwanja ni Efatha Foundation.

Kinachosikitisha ni kwamba maamuzi ya Court (mahakama) hayajafuatiliwa na Afro Plus kama ilivyo Tenants (wapangaji) makampuni mengine waliokwisha ondoka mahali hapo akiwemo SIMION Engineering n.k.

Sasa kama Efatha walinunua hiko kiwanja kwa ajili ya matumizi yao, Watakaa na kusubili mpaka lini huyo mmoja Afro plus aliyebaki aondoke?

Serikali iko wapi?, Wasilaumiwe wamevunja Sheria, SERIKALI INACHANGIA katika hili, ila kama hawapo tayari basi MUNGU Atawasimamia watoto wake.:nod:
 
Kulingana na habari zilizotolewa Jumatatu na Jumatano kupitia TElevisheni ya ITV, inaonekana wazi mmiliki halali wa Kiwanja ni Efatha Foundation.

Kinachosikitisha ni kwamba maamuzi ya Court (mahakama) hayajafuatiliwa na Afro Plus kama ilivyo Tenants (wapangaji) makampuni mengine waliokwisha ondoka mahali hapo akiwemo SIMION Engineering n.k.

Sasa kama Efatha walinunua hiko kiwanja kwa ajili ya matumizi yao, Watakaa na kusubili mpaka lini huyo mmoja Afro plus aliyebaki aondoke?

Serikali iko wapi?, Wasilaumiwe wamevunja Sheria, SERIKALI INACHANGIA katika hili, ila kama hawapo tayari basi MUNGU Atawasimamia watoto wake.:nod:

Wakati wewe ukidai kuwa Mungu atawasimamia-wao:efatha wameshaamua kutumia misuli yao kupata haki yao sasa sijui kwanini unailaumu serikali.
 
Mbona mig0goro ya ardh inamuandama xana mwingra?
Bagam0yo aliparuana na wanakijij,cjui imeisha?

Siku zote ugomvi unakuja ukiwa na kitu na pale unapo shika eneo ambalo ni muhimu...Huna kitu huwezi kugomambania ardhi. Bagamoyo kuna eneo la shule ya Efatha Seminary ambamo wananchi walivamia na kujenga ndani ya eneo la shule. Wametimuliwa wote na pamebomolewa. vivyo hiyo sumbawanga kuna eneo kubwa la shamba la Efatha, raia walivamia, wakajenga na kufanya makazi, wote wameondolewa. Ipo siri katika migogoro hii sio bure, kuna chokochoko lakini hazitashinda. Naona wanaanza kubalilisha mada iwe ya kidini...

waswahili husema "ukicheka na nyani utavuna mabua"
 
tuwekeeni hapa hiyo docomaa tuisome wote. wengine twatumia simu. tunaomba mwenye uwezo aibandike hapa.
 
Mwingira ana miliki benk,estate sumbawanga,kibaha na bagamoyo na fedha nyingi tu!lakini vyanzo vya mapato havijulikani!
 
hawa watauana, jamaa kazua timbwiri na waislamu sijui litaishaje.
Ila wamekosea sana kuchukua sheria mkononi hapa inabidi sheria ifanye kazi kweli haijalishi eneo lilikuwa lake au lah as long as kesi ilikuwa mahakamani.
Halafu huu mgogoro ulikuwa between mwingira na mwenye kiwanda sema jamaa kaufanya ugeuke wa dini sidhan kama kingekuwa kiwanda cha kutengeneza bible kama wakristo wangelichukulia ni mgogoro wa kidini pia.

Na haya makanisa yan siri nyingi aisee japo kila mtu ana uhuru wa kuabudi lakini kuna siri nyuma ya haya makanisa yanayo ibuka kila la leo
 
kulingana na vyanzo vya habari vimesema huo ni mpango wa mwenye kiwanda cha Afro Plus ametengeneza lakini ukweli sio kama hawa jamaa walifanya fujo. maana anachotaka baada ya kuona kuwa kesi inamshinda ametafuta namna ya kumfirisi Mwingira akaona achome moto kiwanda ili ionekane kama efatha ndio wamefanya hivyo . maana hata police walisema kulikuwa na mapanga, jambia lakini waandishi wa habari waliokuwepo hawakuona hivyo pia police wetu ni wajinga sana pia nina wasiwasi wameishie darasa la 4 maana wakiambiwa kitu awareason hata kidogo sijui wajina kiasi gani. anyway nilikuwa naangalia kule mwanza wanavyopigwa wabunge wa chadema nilisitikitika sana mungu yupo ila police wajue nao wana mungu siku ya hukumu watahukumiwa kama wengine siku hiyo hawatasema nilitumwa au nilishindikizwa lablda kama wao wameshachagua sehemu yao.

hawa watauana, jamaa kazua timbwiri na waislamu sijui litaishaje.
Ila wamekosea sana kuchukua sheria mkononi hapa inabidi sheria ifanye kazi kweli haijalishi eneo lilikuwa lake au lah as long as kesi ilikuwa mahakamani.
Halafu huu mgogoro ulikuwa between mwingira na mwenye kiwanda sema jamaa kaufanya ugeuke wa dini sidhan kama kingekuwa kiwanda cha kutengeneza bible kama wakristo wangelichukulia ni mgogoro wa kidini pia.

Na haya makanisa yan siri nyingi aisee japo kila mtu ana uhuru wa kuabudi lakini kuna siri nyuma ya haya makanisa yanayo ibuka kila la leo
 
Back
Top Bottom