BULLDOZZER
Senior Member
- Jan 18, 2011
- 103
- 0
Wadau wapenda haki. Katika harakati za sasa zinazotokea Bungeni za Chadema kuwakataa CUF ukweli umebainika na hivyo msishangae. Jueni aliyenyuma ya yote haya ni Kanisa katoliki ambalo limeapa kuwa lazima Litawale nchi hii daima na ni marufuku imani yoyote ile kutawala.
Tusiwabeze wanaolalamika hapa Tanzania kuwa kuna UDINI. Ni kweli upo na ni SUMU kubwa.
Oneni wenyewe Programu ya kanisa katoliki kuhamisha MAFISADI KUTOKA CCM NA KUIBUKIA CHADEMA.
Wale wanaodhani kanisa lipo kupambana na Ufisadi si kweli. Bali lipo kufuga na kulea mafisadi ili waendelee kulitumikia. Hubadili tu TACTICS kila mara hasa wanapoona wanaelemewa. Ukweli ndio huo.
Tusiwabeze wanaolalamika hapa Tanzania kuwa kuna UDINI. Ni kweli upo na ni SUMU kubwa.
Oneni wenyewe Programu ya kanisa katoliki kuhamisha MAFISADI KUTOKA CCM NA KUIBUKIA CHADEMA.
Wale wanaodhani kanisa lipo kupambana na Ufisadi si kweli. Bali lipo kufuga na kulea mafisadi ili waendelee kulitumikia. Hubadili tu TACTICS kila mara hasa wanapoona wanaelemewa. Ukweli ndio huo.