Kwanini tumkaribishe mwenyeji? Jibu kwanza swali langu na la FF..Mmeshaanza? Hivi kwanini msimkaribishe mgeni kwa upendo?
Asante. Mi naitwa Mwali. Hivi jina lako nalitamka vipi?Asante, unaonekana mrembo. Hivi waitwa nani?
Haswaaa! Mimi ni mmoja wa watu famous hapa!Eti hiyo avatar ndio sura yako halisi?
Nice to meet you 'A'. ni kitu gani kimekuvutia JF?waweza fupisha 'A'
Nina hofu sana na ujio wako Amwit52! Huu ujio wako ni ya ngapi humu? Shaka nyingi sana kwako.
Asante sana. Hivi unajua wengine wote waliweka picha sio zao? unawaona warembo ila sio picha zao... wewe hii picha ni yako?warembo wa humu ndani. si unajiona mfano wewe ulivyo mrembo?
Ulikua mzuri sana mashallah. Mimi ni yangu pia... zipo zingine katika album kwenye profile. Utakuja tuangalie album wote?kumbe? bila shaka hii ni yako. ndio nilipokuwa mdogo.