Jana zilizagaa habar kuwa kuna madaktar wapya wataletwa,kama serikali ndo imefikiria hivyo,nahis ujio wa hao madaktar wapya utaleta ajira kwa kada mbalimbali za watanzania,kwanza wataalam wa lugha nao wataajiriwa,kama watakuja wahindi(basi wanaojua kihindi wataajiriwa kuwa wakalimani),madereva watapata ajira,maana sidhan kama hawa madaktar wapya watapanda daladala na kusimama kutokea wanapoish(let say mbagala) kwenda kazini,au kwa mikoani mfano dodoma kutoka chang'ombe kwenda general hospital,pia kwakua serikali haina nyumba,basi wenye nyumba (hata huku kwetu vingunguti) watajipatia pesa kwa kuwapangisha madaktar wa kutoka cuba na kwingineko,hivyo basi wenyenyumba watapata kipato,polisi nao wataongezeka kwa ajili ya kuwalinda madaktar wa kichina ambao inasemekana wataletwa,,,,,,
NGOJA TUSUBIR HIYO PLAN B
NGOJA TUSUBIR HIYO PLAN B