Ujio wa madaktar wapya fursa mpya kwa WATANZANIA

Bajabiri

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
9,730
1,201
Jana zilizagaa habar kuwa kuna madaktar wapya wataletwa,kama serikali ndo imefikiria hivyo,nahis ujio wa hao madaktar wapya utaleta ajira kwa kada mbalimbali za watanzania,kwanza wataalam wa lugha nao wataajiriwa,kama watakuja wahindi(basi wanaojua kihindi wataajiriwa kuwa wakalimani),madereva watapata ajira,maana sidhan kama hawa madaktar wapya watapanda daladala na kusimama kutokea wanapoish(let say mbagala) kwenda kazini,au kwa mikoani mfano dodoma kutoka chang'ombe kwenda general hospital,pia kwakua serikali haina nyumba,basi wenye nyumba (hata huku kwetu vingunguti) watajipatia pesa kwa kuwapangisha madaktar wa kutoka cuba na kwingineko,hivyo basi wenyenyumba watapata kipato,polisi nao wataongezeka kwa ajili ya kuwalinda madaktar wa kichina ambao inasemekana wataletwa,,,,,,
NGOJA TUSUBIR HIYO PLAN B
 
Jomba ckubaliani na hayo mawazo yako kbsa coz unatakiwa uwe mzalendo, fikiria hawa madaktari wakibongo watafanya nn kama wataletwa madktar kuktoka nje kuja kuwa replace. pia hizo ela za kuwalipa hao madaktar pamoja na madereva, kuwapangishia nyumba, na hao wakalimani unaodai zingetosha kumaliza kero ya hawa madaktar waliogoma.
 
Jomba ckubaliani na hayo mawazo yako kbsa coz unatakiwa uwe mzalendo, fikiria hawa madaktari wakibongo watafanya nn kama wataletwa madktar kuktoka nje kuja kuwa replace. pia hizo ela za kuwalipa hao madaktar pamoja na madereva, kuwapangishia nyumba, na hao wakalimani unaodai zingetosha kumaliza kero ya hawa madaktar waliogoma.

mdau umeuelewa uzi unavotiririka???hebu rudia
 
Jomba ckubaliani na hayo mawazo yako kbsa coz unatakiwa uwe mzalendo, fikiria hawa madaktari wakibongo watafanya nn kama wataletwa madktar kuktoka nje kuja kuwa replace. pia hizo ela za kuwalipa hao madaktar pamoja na madereva, kuwapangishia nyumba, na hao wakalimani unaodai zingetosha kumaliza kero ya hawa madaktar waliogoma.

Waliogoma itabidi wachangamkie hizo ajira zingine kama udereva ulinzi etc
 
Jana zilizagaa habar kuwa kuna madaktar wapya wataletwa,kama serikali ndo imefikiria hivyo,nahis ujio wa hao madaktar wapya utaleta ajira kwa kada mbalimbali za watanzania,kwanza wataalam wa lugha nao wataajiriwa,kama watakuja wahindi(basi wanaojua kihindi wataajiriwa kuwa wakalimani),madereva watapata ajira,maana sidhan kama hawa madaktar wapya watapanda daladala na kusimama kutokea wanapoish(let say mbagala) kwenda kazini,au kwa mikoani mfano dodoma kutoka chang'ombe kwenda general hospital,pia kwakua serikali haina nyumba,basi wenye nyumba (hata huku kwetu vingunguti) watajipatia pesa kwa kuwapangisha madaktar wa kutoka cuba na kwingineko,hivyo basi wenyenyumba watapata kipato,polisi nao wataongezeka kwa ajili ya kuwalinda madaktar wa kichina ambao inasemekana wataletwa,,,,,,
NGOJA TUSUBIR HIYO PLAN B


Ngoja mikarabati nyumba yangu niipangishe kwa dola!
 
tunaojua kichina ngoja tuanze kujifua kuwa wakalimani,inaweza ikawa fursa kwa sababu tutawapangisha nyumba
 
Afadhali waje, tupunguze kutoa rushwa!
Afadhali mkuu uliona hili. Naamini hao madaktari wakija pia tutapata huduma nzuri, bila nyodo, bila ubabaishaji kama ilivyo sasa. Ukitaka kuhakikisha ninayosema nenda Sewa Haji hata leo uongee/uwaulize wagonjwa wenyewe.
 
Jana zilizagaa habar kuwa kuna madaktar wapya wataletwa,kama serikali ndo imefikiria hivyo,nahis ujio wa hao madaktar wapya utaleta ajira kwa kada mbalimbali za watanzania,kwanza wataalam wa lugha nao wataajiriwa,kama watakuja wahindi(basi wanaojua kihindi wataajiriwa kuwa wakalimani),madereva watapata ajira,maana sidhan kama hawa madaktar wapya watapanda daladala na kusimama kutokea wanapoish(let say mbagala) kwenda kazini,au kwa mikoani mfano dodoma kutoka chang'ombe kwenda general hospital,pia kwakua serikali haina nyumba,basi wenye nyumba (hata huku kwetu vingunguti) watajipatia pesa kwa kuwapangisha madaktar wa kutoka cuba na kwingineko,hivyo basi wenyenyumba watapata kipato,polisi nao wataongezeka kwa ajili ya kuwalinda madaktar wa kichina ambao inasemekana wataletwa,,,,,,
NGOJA TUSUBIR HIYO PLAN B

Ujio wa madaktari wapya "kama wataletwa" utatoa sura mpya kabisa ya mgomo kwani na hao wapya watatangaza mgomo wao wakidai kuboreshewa vifaa vya kutolea tiba...kwani huko kwao mazingira ya kazi ni mazuri zaidi
 
watanzania wanateseka kwa sababu ya mgomo! ila walikuwa wanateseka zaidi bila mgomo kwa sababu mahospitalini hamna vifaa vya uchunguzi! wagonjwa wengi wanakufa bila hata ya kugundua tatizo/ugonjwa anaoumwa na pengine hata kama tatizo/ugonjwa ukijulikana dawa hamna! kwa hiyo ni taabu kweli kweli! hali kwenye sekta ya afya ni mbaya! heri yako ambaye haujawahi kuugua au kuuguza maana ungebeba bango na kuanza kuamdamana njiani!
Jiulize tu kanda ya ziwa yenye population isiyopungua 10m, hamna mashine ya kuosha damu kwa wagonjwa wenye matatizo ya figo! ni wagonjwa wangapi wanakufa kila siku kwa kukosa hiyo huduma.
 
Jana zilizagaa habar kuwa kuna madaktar wapya wataletwa,kama serikali ndo imefikiria hivyo,nahis ujio wa hao madaktar wapya utaleta ajira kwa kada mbalimbali za watanzania,kwanza wataalam wa lugha nao wataajiriwa,kama watakuja wahindi(basi wanaojua kihindi wataajiriwa kuwa wakalimani),madereva watapata ajira,maana sidhan kama hawa madaktar wapya watapanda daladala na kusimama kutokea wanapoish(let say mbagala) kwenda kazini,au kwa mikoani mfano dodoma kutoka chang'ombe kwenda general hospital,pia kwakua serikali haina nyumba,basi wenye nyumba (hata huku kwetu vingunguti) watajipatia pesa kwa kuwapangisha madaktar wa kutoka cuba na kwingineko,hivyo basi wenyenyumba watapata kipato,polisi nao wataongezeka kwa ajili ya kuwalinda madaktar wa kichina ambao inasemekana wataletwa,,,,,,
NGOJA TUSUBIR HIYO PLAN B

Plan B = Zero result
 
Back
Top Bottom