LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
- Thread starter
- #21
anakuja kufanya nini huyo kilaza hapo arusha
Anakuja kuzindua cjui wiki ya matibabu ya surua Mi cjui hata ila wadau humu jamvini wanajua na ningeomba watujuze.
anakuja kufanya nini huyo kilaza hapo arusha
hivi hamna alshabab hapo mwape tenda? natamani wangefanya mambo hapo
Wala hamkosei, wana wa CCM tutakuwepo tena kwa wingi nyie bwabwajeni tu but we will be their kama nyie mnavyo kusanyika nje ya mahakama.
Wala hamkosei, wana wa CCM tutakuwepo tena kwa wingi nyie bwabwajeni tu but we will be their kama nyie mnavyo kusanyika nje ya mahakama.