MWIGIZAJI na mchekeshaji maarufu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere' ameandaa filamu inayoitwa Mr. President ambayo ndani yake inachambua maisha ya kifamilia na kikazi ya Rais Jakaya Kikwete kwa kuwa miaka 50 ya uhuru imemkuta akiwa madarakani.
"Hii ni zawadi kwa Rais Kikwete pamoja na Watanzania kwamba, hata rais ni binadamu, anaishi kama wengine, tofauti ni madaraka tu. Ndani ya hii filamu kuna vituko vya hapa na pale vilivyotumika kuonesha maisha halisi ya Mheshimiwa JK, yaani burudani mwanzo mwisho," alisema msanii huyo.
CHANZO <<HAPA>>
"Hii ni zawadi kwa Rais Kikwete pamoja na Watanzania kwamba, hata rais ni binadamu, anaishi kama wengine, tofauti ni madaraka tu. Ndani ya hii filamu kuna vituko vya hapa na pale vilivyotumika kuonesha maisha halisi ya Mheshimiwa JK, yaani burudani mwanzo mwisho," alisema msanii huyo.
CHANZO <<HAPA>>