Siku nyingine Maggid anajivua gamba na kuamua kuongea ukweli!
Hapa hakuna habari mpya kwangu, kama Maggid mpaka aone mkutano mkubwa kwao Iringa ndio ajuwe ccm haitakiwi na Watanzania, basi natilia shaka na upeo wake. Watanzania hawaitaji tena makala za waandishi wajanja wajanja kudai haki zao, watu wameshajitambuwa.
CCM siyo inayumba tu bali imeshayumba ikadondoka sasa inakata roho
Imenipa taabu sana kukubali kwamba Maggid ametoa makala hii. Nadhani sasa amekuwa objective. siyo zile makala za nyuma, alikuwa anaandika kama amefisadiwa.Maggid atakuwa amejivua gamba:
naona gamba limevuka
naona gamba limevuka