MANGI MASTA
Senior Member
- Jul 14, 2011
- 175
- 56
Cuf kimefulia rasmi
Kwa mawazo hayo inaonekana unzungumza ukiwa kaburini msalimie marehemu hamad rashid
Cuf kimefulia rasmi
ujio mpya wa cuf baada ya kujigambua. Umekuwa gumzo kila kona mwa jiji la dar es salaam wengi wakisifu. Nawengine kuponda basi yote kwa yote ni gumzo mtaani sijui vilomo wahumu especialy wale wenye hasira na cuf sijui watapasuka. Nakesho kwa mapokezi ya lipumba sijui vilimilimi watatokwa roho
Ni nadra sana watu kukasirikia wagonjwa mahututi. Na hizi habari za kusema kuwa ujio wa Lipumba ni gumzo umezifanyia uchunguzi wapi wapi? Mimi navyoijua CUF na kwa kuzingatia maneno yako, lazima utakuwa unaishi Buguruni. Mtu wa buguruni akiona watu wamejaa Bungoni mpk Amana si ajabu akasema mji umefurika.
Mimi binafsi nimeongea na watu wa nyumbani lkn sijasikia mmoja wao akizungumzia huyo mtu. Kama ni special kwako, let it be lkn sio kuwasemea wengine. CUF ilikwishakufa kitambo
sio bure wewe