Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,141
- 14,677
shule ya msingi nlioenda mimi ilikuwa Jumatano.. (katikati ya wiki)
Sawa kabisa! Hata shule yetu ukaguzi ulikuwa Jumatatu na Jumatano...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shule ya msingi nlioenda mimi ilikuwa Jumatano.. (katikati ya wiki)
Sawa kabisa! Hata shule yetu ukaguzi ulikuwa Jumatatu na Jumatano...
Mie nilikuwa naogopa sana wanyonya damu, duuuuuuuu! kama kulikuwa na sinema kwenye hall la Tanesco Muungano peke yangu nilikuwa siendi kabisa mpaka mabroo wawepo ndo tunaenda pamoja
Mi, nilikua nikiingia bafuni siogi na nawa miguu najilowesha maji sehem zinazooneka, ukinigusa mgongo wa motoo, maza akanigundua hicho kibano sitasahau.
Kawaida Nilikuwa nikitumwa kununua vitu kwa jumla mfano mchele,unga,n.k. Halafu nampa mbebaji sh 200 kwa kila kiloba lkn siku moja niliona nijaribu kubeba ili nichikichie nikatwishwa cha kilo 50 wakati huo niko na 14yrs lkn nilikomaa Mpaka home kufika hoi nilikitupa huko na kwenda kulala shingo iliniuma kweli mpaka nikapata homa kwa ajili ya sh 200.
Nilikuwa na chupi fulani naizimia kichizi. Ilipoanza kuchakaa lastic ikakatika (si unajua chupi zetu za long time) basi nikawa nikitaka kuivaa lazima nikanunue bazoka (kwa wasiojua ni kama big G) naitafuna ikiisha utamu nabandikia chupi. Basi kila ikiachia lazima nifunue sketi niibandikize vizuri, aisee utoto noma ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Enzi hizo jaguar na wadogoze,mama yetu alibuni utaratibu wakati wa kula,yule wa mwisho kumaliza kula ndo atakayetoa vyombo mezani na kufuta meza.Tulikuwa tunashindana kula kwa speed ile mbaya ukichukulia watoto wote tulikuwa wakiume tu,basi jaguar akabuni utaratibu tofauti,wenzie wakisepa anabaki anafaidi minofu taaratibu bila karaha.i will never 4get those moments!