valid statement
JF-Expert Member
- Sep 18, 2011
- 2,851
- 868
dah... Maji yalikuwa ya shida kipindi cha nyuma. Mabek 3 walikuwa wanaenda chota maji na ndoo za chuma zile,tena mbali, sisi wadogo tunaenda na vidumu. Nlishuhudia bek3 akimegwa live. Bora nsingeangalia!