Rosweeter
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,171
- 4,432
Nilipokuwa mtoto nilikuwa ninaogoa sana ule mwezi mkubwa wa njano, majira hayo yalipokuwa yanafika nilikuwa nina adabu sana kwani nilikuwa nikikosea tu ninafungiwa nje dk chache tu kama adhabu kwa sababu waliijua weakness yangu, kilio nilichokuwa ninakiangusha hapo siku hizi nikikumbuka nacheka sana.
Ucheki hapa lakini, unatisha ee
Hebu wekeni wazi ujiinga wenu ulikuwaje?
Ucheki hapa lakini, unatisha ee
Hebu wekeni wazi ujiinga wenu ulikuwaje?